Meneja wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ametoa sababu baada ya kupoteza hatua ya nusu fainali ya Kombe la Carabao mbele ya Manchester City kwa kufungwa mabao 2-0.
“Wachezaji wamecheza vizuri, wamelinda vizuri ila walishindwa kutumia nafasi ambazo wamezitengeneza,”. alisema Ole Gunnar
“Tumecheza dhidi ya timu bora ya Manchester City.
“Wamecheza vizuri, na wanapocheza vizuri unahitaji kucheza vizuri zaidi uweze kuwafunga, na huo ndio ukweli halisi wa hapa tulipo. Tumepungukiwa kidogo.” aliongeza Ole baada ya mchezo.
Mabao ya Manchester City Uwanja wa Old Trafford yalifungwa na John Stones dakika ya 50 na Fernandinho dakika 83.
Ndani ya dakika 90, City ya Pep Guardiola iliweza kutawala mchezo huo kwa asilimia 61 huku United ikiwa na asilimia 39 ndani ya dakika 90.
Pia United ilipiga jumla ya mashuti mawili yaliyolenga lango huku Manchester City ikipiga jumla ya mashuti manne ambayo yalilenga lango.
Ushindi wa Manchester City unaifanya iweze kupenya hatua ya fainali na itakutana na Spurs ya Jose Mourinho.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Angelina
Polen man u kwa kichapoπ
Magdalena
United walizidiwa
Mwanahamisi
Polen sana man u
Fatina mfingi
Pole tu kwa kichapo
aisha
Poleni sana man u
Sania
Poleni sana man u
Dorophina
Ole anajitetea timu ishakuwa mbovu
Chiku
Man chali amna namna
Issa
City bahati ilikuayao
Adelta
Manchester city ilikuwa ni bahati yao
Na sisi kama mashabiki tumefurahia ushindi ila wajuwe ipo siku yao huu ni mpira
David Pere
Ndani ya dakika 90, City ya Pep Guardiola iliweza kutawala mchezo huo kwa asilimia 61 huku United ikiwa na asilimia 39 ndani ya dakika 90.
Hopemwaikuka
Mwanitesa united
Lydia Emmanuel Magoti
Duuh
Gabriel
Tatizo maandalizi sio mazur upande wa man u
Sabrina
Man u yenyewe mashaka matupu
Sarah
Poleni sana man u
Rahmal
Polen sana
warda
Sijui kwa nini United huwa wanamwogopa sana city