Milan Wampoteza Kouadio ‘Manu’ Kone!

Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali vya habari za kichezo, klabu ya AC Milan imempoteza kiungo Kouadio maarufu kama Kouadio ‘Manu’ Kone kwa Borrusia Monchengladbach.

Vyanzo kadhaa vikiwemo vyanzo vya Calciomercato, L’Equipe, le10sport.com, Fabrizio Romano, na Sky Sport vyote vinathibitisha kukamilishwa kwa dili la staa huyu.

Borussia Monchengladbach wamekubaliana na ada ya €9m pamoja na bonasi ya €1m ya uhamisho wakati na Toulouse na kukamilisha makubaliano binafsi na mchezaji mwenyewe.

kouadio kone

Milan hawakuwa wamejiandaa kuiongeza na kufikia dau la zaidi ya €5m ukijumuisha pamoja na bonasi katika mpango wao wa kuinasa saini yake.

Nyota huyu wa miaka 19 amecheza jumla ya mech 17 za Ligue 1 msimu huu na kufanikiwa kufunga goli moja.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

13 Komentara

    Ac milan mnakwama wapi?

    Jibu

    Milan hawakuwa wamejiandaa kuiongeza na kufikia dau la zaidi ya €5m ukijumuisha pamoja na bonasi katika mpango wao wa kuinasa saini yake.

    Jibu

    Milan pambanen jaman

    Jibu

    Duh balaa ila watapata mwingine

    Jibu

    Duuh sio poa wamtafute mwingine

    Jibu

    Dogo yuko vzur sana

    Jibu

    Duuh itakuaje sasa maana kijana yupo vizur

    Jibu

    Inakuaje tena milan jamaa Yupo vizuri

    Jibu

    Milan mbona mnakuwa ivyo

    Jibu

    Wamempoteza kijana makini sana

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.