Pluijm na Sakata la Kuipeleka Yanga FIFA.

 

Aliyekuwa kocha wa Yanga SC, Mholanzi Hans Van Der Pluijm amethibitisha kuwa amejipanga kuwafungulia mashitaka klabu hiyo kwa Shirikisho la Soka Duniani FIFA kuhusiana na madai ya stahiki zake.
Pluijm amesema: “Taarifa za za mimi kuwa kwenye mpango wa kuwapeleka Yanga FlFA ni za kweli, lakini nisingependa kuzungumza sana kuhusu suala la kesi hii kwa sasa, kwakuwa kuna wawakilishi wangu ambao wako Dar es Salaam kwa sasa wanashughulikia kesi hii.”

Inaripotiwa kuwa kocha huyo anaidai Yanga SC kiasi kinachokadiriwa kuwa dola 50,000 (TSh milioni 115) ambazo amekuwa akitumikia kikosi hicho kwa kipindi chote klabuni hapo.


SHINDA NA TIKI REWARD KASINO

Unaanzaje siku yako bila kuwa na pesa, Meridianbet kupitia kasino zake za mtandaoni inakupa sababu ya kufanya siku yako kuwa njema. Mchezo maarufu wa Tiki Reward unaweza kukufanya milionea. Cheza sasa kibingwa!

Tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.