Premier League Hakuna Corona

Hakuna aliyekutwa na virusi vya Corona kutoka kwenye vipimo 1,195 vilivyofanyika hivi karibuni kwenye Premier League.

Hii ni raundi ya sita mara mbili kwa wiki kupima wachezaji na watumishi wa klabu kilichofanyika 4 na 5 Juni.

Ni mtu mmoja tu ndio alikutwa na Corona raundi iliyopita na 13 jumla kutoka 6,274 tangu upimaji wa sampuli umeanza.

Premier League ilisimamishwa Machi 13, inatarajia kurejea Juni 17 bila mashabiki pale Aston Villa watakapoialika Sheffield United.

Manchester City wataikaribisha Arsenal.

Liverpool wana alama 25 juu kwenye msimamo wa Premier League, wakati Bournemouth, Aston Villa na Norwich City wapo kwenye katika hati hati ya kushuka daraja.

Mechi 92 ndio zimesalia kukamilisha msimu.

50 Komentara

    Duuuh

    Jibu

    Ni jambo jema kusikia hvyo

    Jibu

    Asanten kwa taarifa nzuri

    Jibu

    Nknafurahi kusikia hivyo pongezi kwa wataalu wetu wa afya kwa kuendelea kupiganija jambo hili kwenda sawa

    Jibu

    Ni habari ya kufurahisha na yenye matumaini makubwa sana kwa dunia nzima ,Asante mungu kwa kutuhurumia na janga la corona.

    Jibu

    habari njema

    Jibu

    hilo ni jambo jema la kumshukuru mungu

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    mungu ni mwema mdudu corona anaisha

    Jibu

    Hili ni jambo la matumaini tuendelee kumwomba Mungu hali iwe hivi

    Jibu

    Wow! That’s wonderful# meridianbettz

    Jibu

    Ngoja tuone kama Liverpool wataendeleza ubabe na kubeba kombe

    Jibu

    Ni habari njema kusikia
    Corona imeisha

    Jibu

    Ni nyema kama hakuna corona

    Jibu

    Ni matumaini yetu kuwa hali itakuwa shwari

    Jibu

    Ni habari nzuri

    Jibu

    Ni habari nzuri Jambo la kumshukuru mungu

    Jibu

    Nihabari njema mungu mkubwa

    Jibu

    Hakika Mungu amesaidia kusikia corona imeishaaaa

    Jibu

    Ngoja tuone kama Liverpool wataendeleza ubabe

    Jibu

    Woo! Asnte meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Hii ni habari njema .tumshukuru Mungu tunaamini hili gonjwa litaisha kabisa

    Jibu

    Habari njema hii.

    Jibu

    Ni habari njema Sana ka mashabiki kusikia kuwa corona imeisha

    Jibu

    tumshukuru Mungu tunaamini hili gonjwa litaisha kabisa

    Jibu

    Ni Jambo lakumshukuru Mungu

    Jibu

    Jambo la kumshukuru mungu sanaa

    Jibu

    wacha moto uanze tena kwenye ligi kuu #meridianbettz

    Jibu

    Daaah..!mungu hatuepushe laund inayofuata wakipimwa hasipatikane hata mmoja…!

    Jibu

    hii ni habari njema kwa sisi wapenzi wa soka

    Jibu

    jambo jema sana hili, na ni taarifa nzuri kutoka primia ligi, kwa sababu itapunguza hofu kwa wachezaji wawapo uwanjani

    Jibu

    Hii habari imenipa matumaini ya kuwa salama.

    Jibu

    Habari nzuri kwa Wana premier league

    Jibu

    Goodnews

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Kama corona hamna ngoja tusubiri burudani yasoka

    Jibu

    Ni Jambo la kumshukuru mungu

    Jibu

    Ni taharifa nzuri maana corona aimuachi mtu salama

    Jibu

    gud newz asante

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Tusishangae wakiruhusu idadi chache ya mashabiki hawa epl

    Jibu

    Wasiogope wakipoge tu watu tupate burudani maana tuliikosa kwa mda mtufu sanaa

    Jibu

    Ni furaha sana kwa mashabiki wa soka kusikia hakuna korona EPL

    Jibu

    Corona ishaisha ituache kwanza sisi tupige pesa za kubeti

    Jibu

    Corana imepungua hofu kwa kiasi fulan

    Jibu

    Meridiabet hamna mpinzani wallaah 👏👏

    Jibu

    Asante kwa taarifa#meridianbettZ

    Jibu

    Habari nzuri Sana hii imepunguza ofu kwa kiasi kikubwa Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.