Ratiba Rasmi ya EPL Yatoka

Bodi ya ligi, EPL wametangaza ratiba ya ligi ili kumalizia msimu huu wa 2019/20 ambao ulisimama mwezi March kutokana na janga la Corona.

Mechi mbili za mwanzo za kati ya Arsenal dhidi ya Manchester City, na Aston Villa dhidi ya Sheffield United zitachezwa June 17 kama viporo ili kukamilisha mzunguko wa 29 wa ligi hiyo.

Kwa mujibu wa ratiba hiyo mpya, ligi hiyo itakuanja angalau mechi moja kila siku kuanzia June 17 mpaka July 2.

Tarehe Mechi Muda
17, June Aston Villa v Sheff utd 18:00
  Man City v Arsenal 20:15
19, June Norwich v Southampton 18:00
  Spurs v Man Utd 20:15
20, June Watford v Leicester city 12:30
  Brighton v Arsenal 15:00
  Westham v Wolves 17:30
  Bournemouth v crystal palac 19:45
21, June Newcastle v Sheffield 14:00
  Aston Villa v Chelsea 16:15
  Everton v Liverpool 19:00
22, June Man City v Burnley 20:00

 

23, June Leicester v Brighton 18:00
  Spurs v West Ham 20:15
24, June Man Utd v Sheff Utd 18:00
  Newcastle Utd v Aston V 18:00
  Norwich v Everton 18:00
  Liverpool v Crystal palace 20:15
25, June Burnley v Watford 18:00
  Southampton v Arsenal 18:00
  Chelsea v Man City 20:15
27, June Aston Villa v Wolves 12:30
28, June Watford v Southampton 16:30
29, June Crystal Palace v Burnley 20:00
30, June Brighton v Man Utd 20:15
1, July Arsenal v Norwich 18:00
  Bournemouth v Newcastle 18:00
  Everton v Leicester 18:00
  Westham v Chelsea 10:15
2, July Sheff Utd v Spurs 18:00
  Man City v Liverpool 20:15
     

 

 

 

54 Komentara

    Iko vizuri tunasubiri siku ifike

    Jibu

    Man City v Arsenal hizi timu nazisubiri kwa hamu sana nimeone arsenal amebadilika au bado mana wanatamba sana mashabiki zao

    Jibu

    Asanteni meridian kwa ratiba pia asante mungu hatimae ligi zinarudi na zinaendelea pale pale zilipoishia ni jambo la kushukuru sana aisee maana mashabiki tulipoonza sanaa na sasa mchakamchaka wa kuweka mikeka yetu umerudi tulisubiri sanaaa aisee

    Jibu

    Hiyo ratiba imekaa vyema kabisa

    Jibu

    Hatimaye ligi pendwa inarudi tena shauku ni kwa chama langu Arsenal

    Jibu

    Ratiba iko vizuri Sana tunaisubiri kwa ham

    Jibu

    Ratiba iko vizuri bora timu zirudi mambo yawe mazuri maana tume vumilia kipindi kirefu Sana bila kubet

    Jibu

    Tulimiss burudani ya soka

    Jibu

    Ratiba iko vizuri sana.nategemea kuiona Liverpool mpya katika msimu huuu

    Jibu

    Daa! Safi sn tunasubili siku ifike hii ratiba iko vizuri kinoma

    Jibu

    Noma sana bora ligi irudi

    Jibu

    Daaah Safi sana

    Jibu

    Wapenzi wa soka tunasubir kwa hamu..

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Tunasubiria derby ili kujua mbabe ni nan ?#meridianbettz

    Jibu

    Naombea city akae hapo kwa arsenal

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Hiyo ratiba imekaa vizuri

    Jibu

    Kama naliona chama langu la arsenal likimchapa man city

    Jibu

    Asanteni kwa kutujulisha.

    Jibu

    Waooo iko bomba mbaya

    Jibu

    Duuh meridian nawakubali sana kwan nilikuwa nawaza ratiba itakuwaje pamoja sana kwa kutujali wateja wenu kwan mnajua thamani yetu##meridianbettz

    Jibu

    Imekaa powa sana

    Jibu

    Iko vizuri tunasubiria tu ligi kuanza

    Jibu

    habari njema na ya kufurahisha kwetu sisi wabetiji

    Jibu

    Iko Vizuri tunawasubiri

    Jibu

    Mambo mazuri hayo tunasubilia tu siku ifike

    Jibu

    Itakuwa pouwa sana, Huku EPL, Bundesliga Serie A na Laliga

    Jibu

    Uhondo unarudi sasa tumesubiri vya kutosha Corona tuache kidogo #meridianbettz

    Jibu

    Hatimaye mwanga umeonekana baada ya kiza kinene cha muda wa miezi kadhaa#meridianbettz

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Imekaa vizuri

    Jibu

    sasa hii inataka kuturudisha katika mzuka mpyaaa, kwa sababu hii ligi inamsisimko wa kipekee ulimwenguni.

    Jibu

    hii ni habari safi na tunasubiri kwa hamu

    Jibu

    Habari nzuri wapenda burudani ya soka
    Nilimis kuangalia Man utd.

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Tuna subir kwa hamu zote lingi msimu mpya..!

    Jibu

    Tunaisubili kwahamu

    Jibu

    Tunasubiri kwa hamu aise

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Gud newz kwa waandaji majamvi

    Jibu

    Tarehe 30 na 1 June match za kupiga pesa hzo

    Jibu

    Iko poa Sana👍

    Jibu

    Imekaa vizuri sanaa kwa wenzetu wa Mambo ya kutafuta pesaaaa

    Jibu

    Asanteni kwa ratiba #Meridianbettz

    Jibu

    Hizi ndo habari nilizokuwa nazisubiri kwa hamu zote ili nianze kupiga pesa kwa kubeti na #meridianbet

    Jibu

    Aweer mambo ni motoo

    Jibu

    Tunaingojea kwa ham kubwa

    Jibu

    Gud news kwa wapenda soka na wazee wa mikeka

    Jibu

    Taarifa nzuri Sana kwetu

    Jibu

    Wazee wa kubeti tunaingia mzigoni sasa

    Jibu

    Man City v Arsenal hizi timu nazisubiri kwa hamu sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.