Rangers Kugomea Mitandao ya Kijamii.


 

Klabu ya Rangers ya nchini Scotland imesema uongozi na wachezaji wa klabu hiyo hawata post chochote katika mitandao ya kijamii kwa kipindi cha wiki moja.

Rangers itakuwa klabu ya kwanza nchini Scotland kususia mitandao yote ya kijamii kupinga ubaguzi unaondelea mitandaoni.

Mgomo huo utahusisha wachezaji wote na uongozi wa klabu hiyo katika mitandao yote ya kijamii kwa wiki nzima kuanzia alhamisi saa moja jioni kwa saa za huko.

 

Rangers wamepokea malalamiko kwa wachezaji wao wote weusi kubaguliwa katika mitandao ya kijamii msimu huu alisema kapteni James tavarnier.

Taarifa ya klabu ilisomeka: “Rangers wanaweza kuthibitisha kuwa kufikia saa 7 jioni jioni hii, wachezaji wetu na usimamizi watashiriki katika kususia kwa wiki nzima vituo vyote vya mitandao ya kijamii.

“Hii ni kusisitiza wasiwasi unaoendelea juu ya ukosefu wa kuwajibika na uwajibikaji kutoka kwa vyombo vya habari vya kijamii.”


INAWEZEKANA KUWA MILIONEA BILA KUVUJA JASHO NA KASINO YA ODD ONE OUT.

Odd One Out kutoka Meridianbet ni moja ya kasino maridhawa yenye picha halisi, ambayo inakupa nafasi ya kushinda kadri uwezavyo na kuwa milionea mara baada ya mzunguko kukamilika.

CHEZA HAPA

3 Komentara

    Ni maamuzi yao wenyewe

    Jibu

    Sawaa

    Jibu

    Watakua wamefanya jambo zuri sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.