Richarlison Kufanyiwa Upasuaji

Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs na timu ya taifa ya Brazil Richarlison anaelezwa anatarajia kufanyiwa upasuaji katika sehemu zake za siri na inaelezwa kuchukua muda mrefu.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Brazil atafanyiwa upasuaji huo ambapo inaelezwa ni tatizo lililomsumbua kwa muda mrefu, Hivo amekubali kufanyiwa upasuaji ambao utamuweka nje ya uwanja kwa muda mrefu.RicharlisonRicharlison mwenyewe amekiri tatizo hilo limekua likimsumbua kwa muda mrefu lakini hivo amekiri kuzungumza na madaktari na anakwenda kufanyiwa upasuaji kutokana maumivu ambayo amekua akiyapata.

Staa huyo wa kimataifa wa Brazil ambaye amejiunga na klabu ya Tottenham mwaka jana, Amekua hana msimu mzuri sana tangu ajiunge na klabu hiyo kutoka Kaskazini mwa jiji la London.RicharlisonMshambuliaji Richarlison atakua nje ya uwanja kwa kipindi kirefu hivo klabu ya Tottenham itabakua haina mshambuliaji asilia, Ikiwa ni baada ya mshambuliaji Harry Kane kuondoka hivo ni wazi ataacha pengo kipindi ambacho atakua nje ya uwanja.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.