Aliyekuwa beki wa Barcelona – Nelson Semedo, amekamilisha usajili wa kujiunga na Wolves na leo ametambulishwa rasmi.
Kocha wa Wolves – Nuno Espirito Santo, alikuwa sokoni akitafuta mbadala wa Doherty ambaye amejiunga na Totenham msimu huu. Sasa Wolves wamekamilisha usajili huu dau la pauni milioni 37 na kusaini mkataba wa miaka 3.
Semedo ameichezea Barca mechi 124 na pia ameitumikia timu ya Taifa ya Ureno mara 13.
“Mwaka jana walikuwa na msimu mzuri na ni timu nzuri Uingereza na Ulaya kwa ujumla. Nina imani mwaka huu tutaweza kufanya mambo makubwa zaidi.
“Nuno ni kocha mzuri. Amefanya mambo mazuri akiwa hapa Wolves na kwenye timu zingine. Nitajifunza zaidi kutoka kwake.” amesema Semedo wakati akifanya mahojiano na waandishi wa habari.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
Edgar
Pongezi kwa wolves
Latifa juma mohamed
Hongera wolves.
Sauda
Piga kaz kijana
Dorophina
Kila lakheri kwa semedo kapige kazi kijana
Rose kapinga
Hongera tunatarajia kilicho bora kutoka kwako!!
Zeiyana
Wolves wanazidi kupanga kikosi chao kiwe kwenye ubora
Mwajumah
Pongez nying kwa wolves
Adelta
Kila la kheri kwake
Angelina
Goodnews
Venerose
Kazi njema
Fatina mfigi
Pongezi kwako!!
Hopemwaikuka
Semedo yuko vzur sana
aisha
Pongezi kwako semedo kwa kupata iyo nafasi
Mwanahamisi
Pongezi kwake
Caroline
Karibu sana wolves
Samiah
Wolves krb sanaaa
magdalena
wolves wamepata mchezaji mkali sana
Hidaya
Pongezi kwa wolves
Neema
Hii ni pongezi kwake
Saupha mohamed
Wolves wanajinga atalii
Nasra
Hatar sana
Sauda
Wolves wameula.
Amiri Kayera
Usajir mzur Kwa wolves
Khadija
Kila la kheri kwake
Issa
Wolves wamepata jembe la maana
Gabriel
Hongera wolves
Sabrina
Wolves wamepata mchezaji mzuri
marry
all the best
felister
piga kazi kijana
Rehema
Safi sana
Leonard
Safi
Elika
Kazi kazi kijana
Ernest
Wolves wamepata bonge la mchezaji
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri dogo
Sadick
Ukiachilia mbali Ureno kwenyewe timu nyingine barani Ulaya imejaza wareno ni Wolves nadhani Kocha Nuno anafikiria kupitia wao atapata mafanikio na amepata#meridianbettz
Janeflora malisa
Safi
Tatu
Kijana piga basi
Fatuma kasomo
Jambo zuri
Tahiya
Safi
Tumaini kasalile
Hongera kwao
David Pere
Ukiachilia mbali Ureno kwenyewe timu nyingine barani Ulaya imejaza wareno ni Wolves nadhani Kocha Nuno anafikiria kupitia wao atapata mafanikio na amepat