Simba SC Kuwavaa Costal Union Leo.

 

Klabu ya Simba SC itajitupa uwanjani tena leo kuvaana na Costal Union kutoka Tanga katika uwanja wa Benjamin Mkapa Stadium majira la saa moja jioni kwa muda wa Afrika Mashariki. 

 

Simba SC inarejea tena katika Ligi ya kuu ya NPL kwaajili ya kutetea ubingwa wao, baada ya kupata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya Polisi katikati ya wiki.

Kocha msaidizi wa Simba SC, Seleman Matola amesema mapungufu yaliyojitokeza kwenye mechi zilizopita kama kutengeneza nafasi na kushindwa kuzitumia vizuri yameendelea kufanyiwa kazi na anaamini tutapata ushindi mnono.

“Ni kweli tumekuwa hatupati ushindi mnono lakini tumeyaona mapungufu yetu na tumeyafanyia kazi, matumaini yetu ushindi mnono utaanza kupatikana tukianza katika mchezo wa leo,” amesema Matola.

 

Simba SC inatendelea kuwakosa wachezaji wake, Chris Mugalu ambaye anaendelea kupona taratibu, wakati Taddeo Lwanga na Pape Ousmane Sakho wakiwa wamepona lakini hawako fiti asilimia 100 kuwepo katika kikosi.


JIUNGE KWENYE SHINDANO LETU LA EXPANSE NA USHINDE!

Achana na ndoto za usingizini za kuokota burungutu la pesa, amkia upande wa ushindi halisi kutoka Meridanbet kwenye shindano la Expanse linalojumuisha michezo pendwa ya sloti za mtandaoni iliyopo kwenye promosheni ya Expanse kutoka Meridianbet.

JIUNGE KWENYE SHINDANO LETU LA EXPANSE NA USHINDE! Jinyakulie sehemu ya mgao wa Tsh 1,000,000 kupitia shindano la Sloti za Expanse🔥 Litakalo fika mwsiho Oktoba 31, 2021 saa 5:59:59 usiku‼ Bofya hapa Kujua zaidi

BOFYA HAPA KUJUA ZAIDI

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.