Simba Yaomba CAF Kurudisha Mashabiki Mechi ya AS Vital.


 

Klabu ya Simba SC imeliomba Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) wawaruhusu kuingiza mashabiki kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya AS Vita ambao utapigwa April 03 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Huu ni mchezo muhimu ambao Simba SC inahitaji kushinda au hata matokeo ya sare kuweza kutinga robo fainali.

 

Mchezo dhidi ya Al Merrikh, Timu hiyo ilipewa ruhusa ya kuingiza mashabiki 200.

CAF imeiruhusu Al Merrikh kuingiza mashabiki 1000 katika mchezo wao dhidi ya Al Ahly hivyo yapo matumaini kwa Simba nao kupewa ruhusa hiyo ingawa yawezekana idadi isiwe kubwa.

Hata hivyo mnyama amejipanga kushinda mchezo huo bila ya kujali uwepo wa mashabiki kama ilivyokuwa mchezo uliopita dhidi ya Al Merrikh.


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

7 Komentara

    Itakuwa Jambo zuri kurudisha mashabiki

    Jibu

    Kweli kabisa mashabiki tuna umuhimu sana

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Mpira bila mashabiki haunogi

    Jibu

    Mashabikii lazima wakubaliwe kwenda uwanjanii

    Jibu

    Itakuwa poa

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.