Mshambuliaji wa Tottenham na Korea Kusini, Son Heung-Min ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka inayotolewa na KFA (Chama cha mpira wa miguu nchini Korea kusini).
Mshambuliaji huyo nahodha wa timu ya taifa ya Korea kusini Son Heung-min amechaguliwa na Chama cha soka nchini Korea (Korea Football Association (KFA) ) kuwa mchezaji bora wa nchi yake kwa mwaka 2020 na kuweka rekodi ya kutwaa tuzo hiyo kwa mara ya Tano.
Son amekuwa na msimu mzuri pia katika klabu yake ya Tottenham inayoshiriki ligi ya Epl, akiwa amecheza mechi 12 na kufunga magoli 10 na kutengeneza nafasi 4 za magoli.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Adelta
Hongera yake
Shakila mrope
Hongera san son
Khadija
Hongera yake
Sarah
Ongera yake
Mwanahamisi
Hongera sana
Rahma
Hongera yke
Caroline
Hongera zake
Dorophina
Hongera yake son
Hopemwaikuka
Congrats to u Son
Issa
Son amekua kwenye kiwango bora msimu huu
Saupha mohamed
Hongera yake
Fatuma kasomo
Habari njema
neema hassan
Pongezi kwake anastahl
samiah
Pongezi kwake
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi zake Sana anajua mcorea huyo
Samira
Son ni habari nyingine anajituma sana kulitafuta gori uwanjani
Farida ahmad
Pongezi sana
Tatu
Hongera yake
Janeflora malisa
Safi
warda
Hongera yake Son