Kabla ya msimu mpya wa NBA kuanza kutimua vumbi Disemba 22, 2020. Giannis Antetokounmpo wa Milwaukee Bucks ameweka historia kwenye NBA.
Giannis Antetokounmpo ameongezewa mkataba wa kuendelea kukipiga katika klabu ya Bucks ambao unathamani ni pauni milioni 170.1, huu ni mkataba wenye mtonyo mrefu zaidi kwenye historia ya NBA.
Antetokounmpo amesaini mkataba wa miaka 5 na wakala wake alithibitisha thamani ya mkataba huo kupitia ESPN ambapo sasa ni rasmi, mchezaji huyu ambaye ameshabeba tuzo ya MVP mara 2 amempiku James Harden ambaye aliweka rekodi 2017 kwa mkataba wenye thamani ya pauni milioni 169.9
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, Antetokounmpo ameandika “Hapa ni nyumbani, huu ni mji wangu. Nimebarikiwa kuwa sehemu ya Milwaukee Bucks kwa miaka 5 zaidi. ”
Endapo Giannis Antetokounmpo asingesaini mkataba huu, angekuwa ni mchezaji huru baada ya msimu wa 2020-21. Mkataba mpya wa mchezaji huyu unamruhusu kuvunja mkataba huu baada ya kuutumikia kwa miaka minne.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Adelta
NBA mambo yanazidi kunoga
Khadija
NBA mambo yanazid kupamba moto
Sarah
NBA Mambo nimoto
Rahma
Nba Mambo yanazidi kutalaladi
Caroline
Safi sanaaa
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki wa giannis kuongezewa mkataba
Hopemwaikuka
He did a gud job
Issa
Historia safi na rekod ya kibabe
Saupha mohamed
Safi sana
Fatuma kasomo
Safi sana
samiah
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii sana
Tatu
NBA kumenoga
Janeflora malisa
Safi
warda
Safi sana
Venerose
Good