Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema kocha mpya wa Barcelona Ronald Koeman anataka kumleta kiungo wa kati wa Liverpool na Uholanzi Georginio Wijnaldum, 29, Nou Camp.

Beki wa kati wa Lille na Brazil Gabriel Magalhaes, 22, amechelewa kufanya maamuzi ya mwisho ya kuelekea Arsenal baada ya Manchester United kuonekana kuwa na uwezekano wa kutoa kitita fulani kwa ajili yake.

Manchester United imeonesha kupotezea juu ya mpango wake wa makubaliano ya mkopo kwa winga wa Juventus na Mbrazil Douglas Costa, 29, na badala yake inafikiria kumsajili winga wa Bournemouth na Wales David Brooks, 23.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema United imearifiwa kwamba ni lazima ilipe Bournemouth pauni milioni 40 kumsajili Brooks.

Paris St-Germain inamnyatia beki wa Manchester United na Ureno Diogo Dalot, 21.

Beki wa kati wa Manchester United Chris Smalling, 30, anafuatilia kwa karibu makubaliano ya mkopo na Roma baada ya msimu uliopita kuwa Serie A.

Mazungumzo mapya ya mkataba kati ya United mlinda lango Mwingereza Dean Henderson, 23, yako katika hatua za mwisho. Makubaliano yao yanasemekana kuwa na thamani ya zaidi ya pauni 100,000 kwa wiki.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Liverpool inafikiria kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Munich Thiago Alcantara huku mchezaji huyo wa Uhispania, 29, akipatikana kwa pauni milioni 30.

Tetesi zinasema mshambuliaji wa Watford Troy Deeney, 32, anataka kusalia Hornets, licha ya kushushwa daraja.

Tottenham inapanga kumsajili Ainsley Maitland-Niles, 22, wa Arsenal ambaye msimu uliopita alicheza kama mlinzi na kiungo wa kati kwa timu ya Arsenal.

Tetesi zinasema Brighton haitakubali ofa ya tatu ya Leeds kwa mlinzi Ben White, 22, na kusisitiza kwamba mchezaji huyo hauzwi.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Aston Villa iko tayari kutoa ofa ya pauni milioni 18 kwa mshambuliaji Mwingereza wa Brentford Ollie Watkins, 24, lakini upande wa mchezaji huyo unasemekana kushikilia kutaka pauni milioni 25.

Real Betis inafanya mazungumzo na Brighton kuhusu uhamisho wa beki wa kulia wa Uhispania Martin Montoya, 29.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

36 Komentara

    Atakua amefanya poa sana huyu kiungo wa Liverpool yuko poa#Meridianbettz

    Jibu

    Noana kocha wa Barca Koeman ameanza mbwembwe zake, Wijnaldum, ndani ya Barca soon tunaambiwa Pogba

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Ha ha ha atariii

    Jibu

    Nomaa

    Jibu

    Atakua amefanya poa sana uyu kiungo wa liverpool#Meridianbettz

    Jibu

    Maoni:asante meridian kwa taarifa mbalimbali

    Jibu

    Georginio ni vizuri akienda barca liver watakuwa wamepata mchezaji mzuri

    Jibu

    Gabriel lazima ataenda arsenal

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Tumeona kazi yake thiago alcantara toka alivyo kua arsenal ni mchezaji hanaye jituma sana hitakua vizuri kama Liverpool wataipata saini yake

    Jibu

    Habari njema
    @meridianbettz

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Gud news na meridian bet.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    mambo yanazidi kupamba moto

    Jibu

    Asante kwakunijuza habari motomoto

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Coach wa Barcelona ameaza kufanya maajabu yake kwa kuimalisha kikosi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Good

    Jibu

    Gabriel afanye maamuzi Bhana Arsenal wanamuitaji naona man u washaanza fitina

    Jibu

    Kocha Koeman analenga kuunda kikosi cha Barcelona kwa kuweka Waholanzi wengi zaidi#meridianbettz

    Jibu

    🙌

    Jibu

    Georginio Wijnaldum ni mchezaji mzuri na kwa sababu kocha anaehitaji kandarasi yake ni kocha anaemfahamu wakiwa wote timu ya taifa nina imani atafanya vizuri Barcelona

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Noma sana.

    Jibu

    Usajili utaenda vizur sana 👍

    Jibu

    United inafeli mchukuen sancho mboreshe safu ya ushambuliaji

    Jibu

    Good newz

    Jibu

    Tetesi ziko poa Sana.

    Jibu

    Nice united

    Jibu

    Kocha wa Barcelona ameimarisha kikosi

    Jibu

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duuh noma sana

    Jibu

    Kocha Koeman analenga kuunda kikosi cha Barcelona kwa kuweka Waholanzi wengi zaidi

    Jibu

    Itakuwa vizuri Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.