Casemiro Kufuata Nyayo za Paul Scholes.

Manchester United imethibitisha kuwa Casemiro atavaa jezi namba 18 na kufuata nyayo za gwiji wa klabu hiyo Paul Scholes.

Kiungo huyo wa kati wa Brazil, (30), amesajiliwa na Man UTD kwa uhamisho wa paundi milioni 70 kutoka Real Madrid.

Anawasili kama mshindi mara tano wa Ligi ya Mabingwa na moja kati ya viungo wa Ulaya waliofanikiwa zaidi katika muongo uliopita. Lakini nambari yake ya shati ina uzito mkubwa zaidi wa matarajio Old Trafford.

Jezi nambari 18 ilipewa umaarufu na Scholes, ambaye anachukuliwa kuwa mmoja wa wachezaji wakubwa katika historia ya Ligi Kuu. Scholes alishinda mataji 11 ya ligi katika kipindi cha miaka 22 cha maisha yake akiwa na Man UTD, na kucheza zaidi ya mechi 700 katika vipindi viwili tofauti vya klabu hiyo.

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.