Mgeni rasmi Yanga v Zalan huyu hapa

WAKATI Yanga wakitarajia kucheza leo jumamosi dhidi ya Zalan FC kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa.

Mgeni rasmi Yanga v Zalan huyu hapa

Mchezo huo wa marudiano wa michuano ya Klabu bingwa barani utachezwa saa 1:00 usiku.

Yanga wanaingia kwenye mchezo huo wakiwa kifua mbele baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 kwenye mchezo wa kwanza yakifungwa na Feisal Salum huku Fiston Mayele akifunga matatu.

Mgeni rasmi Yanga v Zalan huyu hapa

Kupitia ukurasa wa klabu hiyo leo wamemtangaza Waziri Mchengerwa kuwa Mgeni rasmi katika mchezo huo wa marudiano.

Mgeni rasmi Yanga v Zalan huyu hapa

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.