Yanga yasepa Mtwara kibabe

Baada ya kuibuka na ushindi jana jumapili, kikosi cha Yanga kimeondoka leo alfajiri Dar kuelekea Mtwara kwa ajili ya mchezo dhidi ya Namungo.

Yanga yasepa Mtwara kibabe

Mchezo huo wa ligi kuu unatarajiwa kupigwa Desemba 7 mwaka huu kwenye Uwanja wa Majaliwa.

Baada ya ushindi wa jana jumapili dhidi ya Tanzania Prisons, Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amesema hajafurahishwa na viwango vya wachezaji wake.

Yanga yasepa Mtwara kibabe

“Tulijua tunakuja kucheza na timu ambayo inaingia na mipango ya kuzuia hivyo tuliwaambia wachezaji wetu wasipoteze umakini kwani wakizuia sana watachoka.

“Tumepata ushindi ni muhimu kwetu lakini kuna baadhi ya makosa tuliyafanya kwani tunaruhusu timu pinzani itushambulie lakini tunaenda kulifanyia marekebisho.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.