Nini Hatma Ya Simba Dhidi ya Raja kwa Mkapa Leo?

Ligi ya Mabingwa Barani Afrika itaendelea tena hii leo kwa michezo kadha wa kadha, ambapo kwa Mkapa utapigwa mchezo kati ya Simba dhidi ya Raja Casablanca ya nchini Morocco.

 

Nini Hatma Ya Simba Dhidi ya Raja kwa Mkapa Leo?

Simba walipoteza mechi yao ya kwanza kwenye hatua ya makundi, na hii ni mechi ya pili ambayo wanatarajia kupata pointi tatu dhidi ya timu kubwa Afrika Raja ambaye ametoka kumfunga Vipers mechi ya kwanza.

Kwenye kundi C mnyama yupo nafasi ya tatu, lakini pia itamkosa kiungo wake Sadio Kanoute ambaye alipewa kadi za njano mbili mfululizo lakini kuna uwezekano wa kumchezesha Saido Ntibanzokiza.

Nini Hatma Ya Simba Dhidi ya Raja kwa Mkapa Leo?

Je Roberto na timu yake wana nafasi gani hii leo, pointi 3 watazipata? au Raja anaweza kumzuia mnyama kuibuka mbabe?

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.