KUWAONA SINGIDA FOUNTAIN GATE HAKUNA KIINGILIO

Ofisa Habari wa Klabu ya Singida Fountain Gate Hussein Massanza amesema hakutakuwa na kiingilio katika mchezo wao wa kombe la shirikisho Barani Afrika dhidi ya Future ya nchini Misri.

Mchezo huo utapigwa tarehe 17, Jumapili katika uwanja wa Azam Complex Chamazi, awali Singida waliwasafirisha mashabiki zao kutoka Singida hadi Dar na kurudi katika mchezo wao wa kwanza dhidi ya Kipanga ya Visiwani Zanzibar.

Sasa watafanya hivyo tena ili kutoa fursa kwa mashabiki wa soka nchini kujitokeza kwa wingi ili kuwapa sapoti kwenye mchezo huo ambao wanahitaji zaidi ushindi kuliko chochote.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.