Vilabu vya EPL bado Njia Panda Kumalizika kwa Msimu

Vilabu vya Ligi Kuu ya Uingereza wameendelea kuwa pamoja kwenye lengo la kumalizia msimu, lakini muswada wa kumaliza ifikapo June 30 haukujadiliwa kwenye mkutano wa Ijumaa.

Vilabu vyote vimewakilishwa kwa simu ya video, wakati ajenda kubwa ilikuwa ni namna ya kumaliza msimu.

EPL wamesema ligi haitaendelea kama serikali haijaona sawa kufanya hivyo.

Hakuna mwakilishi aliyetoa wazo la kumaliza msimu ifikapo Juni 30 na suala la kukatwa mishahara na usajili hayajazungumziwa.

Msemaji wa EPL: “Sote tunafahamu changamoto kubwa ni COVID-19 hasa tunawaza wale walioambukizwa na janga hili.

No clubs raised the prospect of finishing the season before June 30 in Friday's meeting
Vilabu havijajadili kumaliza msimu ifikapo Juni 30

“Kama ilivyo kwa biashara zingine na viwanda, EPL na vilabu vyake wanajitahidi kufanya mipango mikubwa. Tunawashirikisha wadau, ikiwemo warusha matangazo, lakini lengo letu ni kuhakikisha ligi itarejea pale itakapokuwa salama kufanya hivyo na kusaidiwa na serikali

“Afya ya wachezaji, makocha, viongozi wa vilabu na mashabiki ni kipaumbele chetu na ligi itaendelea pale wataalamu wa afya wakiruhusu.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.