Gemu bila mashabiki imekuwa kimbembe sana! Ladha ya uwepo wa mshabiki halisi huwapa msisimuko na hamasa wachezaji. Kutokana na janga la lililoikumba dunia, vilabu vimelazimika kucheza mechi kwenye viwanja vitupu, mpango ambao unatarajiwa kutumika na ligi zote zitakazoendelea hivi karibuni. Midoli imetumika kama mbadala sasa kule Korea!
Klabu ya soka ya FC Seoul waliamua kutumia midoli kujaza viti vitupu vya mashabiki uwanjani. Lengo la klabu hii inayoshiriki Ligi Kuu ya Korea (K-League) ilikuwa ni kuweka mazingira fulani ya uwepo wa mashabiki. Sauti za kutengenezwa na midoli inayofanana na watu halisi ikawekwa uwanjani.
Mechi ilikuwa ya FC Seoul dhidi ya Gwangju FC, Machi 17

Hata hivyo kumekuwa na tafsiri tofauti ya matumizi ya midoli hiyo, baadhi wakiwatuhumu kuwa wmetumia midoli inayotumika kama mbadala wa wapenzi na watu wazima.

Kutokana na tasfiri tofauti, klabu ya FC Seoul walitoa tamko la kuwaomba radhi washabiki wao kuwa hiyo haikuwa nia yao. Nia yao njema ilikuwa ni kupata mfani wa mashabiki na kuweka mazingira ambayo yatawatia moyo wachezaji wasihisi kuwa sehemu nyingine kabisa zaidi ya dimbani walipozoeas kukiwa na kelele na mashabiki.


Gabriel
Daaah! Hii hatar
Warda
Duuu wametisha#Meridianbettz
Frank Patrick
Kila league inatengeneza mfumo wakufanya league yake izidi kupendwa…hii ya korea kalii
Salma
Hatari
Ernest
Safi sana Korea, nadhani league zingine wanajambo la kuiga hapa kutoka kwenu ili kuleta hamasa kwa wachezaji wakiwa uwanjani.
SADICK
Ni ubunifu lakini sio sawa. Mashabiki halisi wanaleta hamasa kwa wachezaji#Meridianbettz
winfrida
daa hii kali sasa
Lombo
aàaah aaah aàaah corona itakoma mwaka huu tumejipangaa
Theckla
Duuu sio kwa midoli hiyo
Isaya massawe
Wametishaa
Mwanaidi
Duuuh balaa zito midoli tenaa🙄
Zeiyana iddi
Hinatakiwa kuwaliwaza sana wachezaji so bado wanakipindi kigumu sana hadi wakija kuzoea si leo hata kama kuna mawazo mengine yatolewe ususani na midoli..!wafanyiwe tu ili wafurahi nafsi zao..!
Mwajuma
Da ubunifu waloufanya unafurahisha sana
Tahiya
Ni ubunifu haswa
Evaluziga
Ni ubunifu mzuri Ila mashabiki wanaleta amasa
Emmy cleopa
Good idea #meridianbettz
Ester jackson
Ubunifu uliofanya na korea nimeupenda sana mana kwa wachezaji inawatia nguvu hata kama hawapati kile kilicho halisi
Samiah
Niubunifu wali yajuu
David pere
Wametumia akili ya zidaa
Amani
inawatia nguvu hata kama hawapati kile kilicho halisi#meridianbettz
Adelta
Mhmh,hatari sana
Antony Luseno
Du wametisha lakini bado je kwenye ushangiliaji wa mashabiki inakuwa vp
Ester mmakasa
Duuh!wametumia akili sana kuweza kuchangamsha wachezaji wao inapendeza.
Hidaya Mohammed
Noma sana akili ya ziada imetumika
Hope mwaikuka
Midol sio poa kabsaa
Evaluziga
Iyo ni baraa
Lydia Emmanuel Magoti
Duu iyo kari
Neema hassan
Duuh corona noma..
felister
mmetisha Korea na wengine waige kupitia nyie
Rehema Dickson
Wazo zuri Sana korea nawapongeza maana raha ya mpira vibes liwe la kutosha
Carolyne
Ha Ha Ha Ha hii corona hii imetunyoosha
Kenani
Safi Korea
Neema juma
Wamenifurahishaa kwa kweli na hiyo midolii ilivyokalishwa na kuvalishwa utazani washabiki wa ukweli
Mwanahamisi
Hatari
Furahav
Kwel nmeamini hakuna km corona duniani.
Genia
Daaaah hatari sana
Genia skaluzwe
Daaaah hatari sana
aisha
Wametumia akili za ziada
mathayo sonje
wamefanya vizuri kama midoli hiyo itapiga kelele basi watakua vema zaid
Dorophina
Hii kali mashabiki wanakuwa na hamasa kubwa kwa wachezaji
Khadija
Safi sana corea
aisha
Safi sana korea
Mwanahamisi
Hatari