Ndoto za Mourinho Timu ya Taifa Zimekufa?

Jose Mourinho alipotimuliwa klabu ya Manchester United, alilazimika kukaa kwa mda fulani kabla ya kupata kibarua chake kipya. Wakati akitarajia kupata kibarua kipya alisema kwa wakati ule alikuwa anajiona kazi yake inayofuata ni kwenye timu ya taifa.

Mapema tu baada ya kutimuliwa, klabu kadhaa ziliripotiwa kumuhitaji kama meneja. Mourinho alinukuliwa akisema wazi kuwa kuna klabu ambazo tayari zilishamfuata lakini aliamua kukataa akiamini sio aina ya kazi aliyohitaji au klabu alizotaka kuwepo kwa wakati huo.

Moja ya klabu alizokuwa akihusishwa nazo ni pamoja na Chelsea, lakini aliamua kutamka hadharani kuwa yeye anajiona katika levo zingine za kufundisha timu ya taifa. Alienda mbali zaidi kwa kusema ni kitu kilichoishi akilini mwake kwa mda mrefu.

Ndoto za Mourinho Timu ya Taifa Zimekufa?
Jose Mourinho, Tottenham

Mourinho alinukuliwa akizungumza na Eleven Sports:

“Ninahitaji kupambana katika mashindano mapya. Nafikiria kuhusu Kombe la Dunia na Michuano ya Ulaya.”

“Kwa mda mrefu sasa nimekuwa na hamu ya kujaribu suala hili. kwa sasa, najiona nikiwa kama meneja wa timu ya taifa zaidi kuliko meneja wa klabu.”

Baadaye Mourinho aliteuliwa na Tottenham, Mwishoni mwa Novemba 2029 ambako mpaka sasa ana mipango mikubwa ya kuwarejesha kwenye reli kwa namna yake. Anatarajiwa kuwepo hadi mwaka 2023, Juni. Huenda akafanikiwa zaidi akiwa hapo.

Je ndoto yake imefutika? Huenda, akapata Taifa litakalomuamini kumkabidhi timu ya taifa siku za mbeleni.

46 Komentara

    Huyu jose na wakala wake sio watu wa kuwaamini sana wanachoongea

    Jibu

    Wacha tuwe na amani nae yupo huyu jamaa

    Jibu

    Mourinho amepata mafanikio kwa mbinu zake za kale kwa bahati mbaya kwake mbinu za mpira zimebadilika sana hawezi kupata mafanikio tena kama zamani asipobadilika hata kama atapewa timu ya Taifa ya Ufaransa #meridianbettz

    Jibu

    Mbinu zake zishavuja hawezi kupata mafanikio Kama zamani ,Ndio maana hatapata hata kidogo nafasi ya kufundisha timu ya taifa

    Jibu

    Mambo yanakwenda yanabadilika

    Jibu

    Huy kocha anatakiwa kutafuta mbinu
    Mpya ya sasa

    Jibu

    Kocha yuko vizuri sana labda atafanikiwa

    Jibu

    Huyu kocha anajua sana.

    Jibu

    Jose falsafa yake imekaa vizuri katika kuwa kocha wa klabu na sio timu ya taifa

    Jibu

    gud newz asante

    Jibu

    Huyu kocha yuko vzur na mzoefu anachoongea anauhakika nacho

    Jibu

    Huyoo jamani apumzike tu hana jipya

    Jibu

    Huyu Jose ni kocha mzuri sn ananifurahisha sn pole timu yake ikicheza anipa Raha sn

    Jibu

    asikate tamaa ila anatakiwa atafute mbinu mpya

    Jibu

    Yuko vizuri sana jose ajipe muda tu kila kitu kitakua sawa

    Jibu

    huyo kocha yupo vzr sana#meridianbettz

    Jibu

    Mourinho bado ananafasi ya kufundisha timu ya taifa kutokana na style yake.

    Jibu

    Hana mbinu mpya mourihno mm namshauri atulie tu

    Jibu

    Mourinho ni kocha mkongwe, pia mzuri kwenye kazi yake,but watu wanakuwaga na mashaka mashaka tu

    Jibu

    Huyo kocha mazuri sana

    Jibu

    Duuuh kazi ipo hapo

    Jibu

    Huenda, akapata Taifa litakalomuamini kumkabidhi timu ya taifa siku za mbeleni.

    Jibu

    Mtu asie mkubali Mourinho anamkosea ukimuelewa Mourinho nn anakifanya kwenye kaz yake utamkubali tuu Mourinho nichocha mzuri nakira mtu ana mabayake kwaio nivitu vidogovidogo tuu vya kurekebishika anajua uyo

    Jibu

    Namkubali sana jose mourinho

    Jibu

    Tunakwenda nawakati

    Jibu

    kwa Jose Mourinho sitegemei Kama hataweza kufanya vizuri na timu za taifa.
    Ngoja wait…!

    Jibu

    Ipo siku asijal still namuan ni kocha nzur sana

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa.

    Jibu

    Kashachuja uyo Hana jipya atulie tu
    #meridianbet

    Jibu

    Kocha mzuri sana huyo

    Jibu

    saiv hana shuhuli

    Jibu

    Asante kwa kutujuza

    Jibu

    Mtu makini sana

    Jibu

    Kama ridhki yake ipo basi ataendelea na kazi yake

    Jibu

    Team ya taifa bado huyo abaki na club tu kwanza

    Jibu

    Kocha km chocha atakiwa mbinu mmbadala

    Jibu

    Nikocha mzuri asante meridani kwa taarifa

    Jibu

    Thanks meridian bet kwa information

    Jibu

    mourinho namkubali sana uyu kocha

    Jibu

    Namkubali sana

    Jibu

    Bado ananafasi asikate tamaa

    Jibu

    Huyo kocha yupo vizur sana

    Jibu

    Asikate tamaa mungu anaweza akasaidia malengo yake yakatimia

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Yuko vizuri na akiamua anafanya vizuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.