Ladha ya soka imebadilika kwa wachezaji kipindi hiki wakiwa wanalazimika kucheza soka bila mashabiki. Meneja wa timu ya taifa ya Hispania, Luis Enrique ameamua kutoa ya moyoni kuwa kucheza mechi kwenye uwanja usio na mashabiki inahuzunisha sana, ni zaidi ya kucheza mziki na dada yako kabisa!
Wewe unaweza kudansi? Vipi unaweza kudansi na dada yako? 🙄 eenh kama ndiyo, unajisikiaje ukifanya hivyo? Kama unafurahia basi hauko ukurasa mmoja na Luis Enrique! Kwa Enrique kudansi na dada yake inaboa, inahuzunisha siyo kidogo lakini soka kwenye uwanja mweupe ni zaidi ya huzuni hiyo!
Bundesliga inaendelea bila mashabiki uwanjani, kama baadhi ya ligi zingine zinazoendelea. Wachezaji nao na makocha wanatakiwa kupeana nafasi hata kwenye mabenchi ya ufundi.

Shangwe za kufunga magoli pia zinatakiwa kuzingatia umbali kati ya mchezaji mmoja na mwingine. Hakuna kurukiana hapa. Unaweza kujifikiria wewe ukiwa uwanjani, uwanja umepoa bila amsha amsha, kiuhalisia ladha inapungua, kama wimbo biala sauti au? 🤭
“Inaboa sana, nimeangalia mpira wa Ujerumani na ni malamishi. Unaweza kusikia matusi ya wachezaji na kupoteza radha ya kufahia mda huo. Kucheza mechi bila mashabiki inasikitisha kuliko kudansi na dada yako” -Luis Enrique
Ulimwengu wa soka kwa pamoja, kama wadau katika sekta zingine unaomba hali irejee katika ukawaida wake, watu waendelee kufurahia ladha waliyoizoea. Na wale wa kubeti, tuendelee kufurahia mida ya kubeti inapowadia, kama hapa manzese mida ya kubeti hatuna masiala nayo kabisa, ni mikeka tuu!


mwakalosi
Kweli inaboa maana mashabiki wanakuja na hamasa kubwa uwanjani ile nguvu yao ya kushangilia inatoa hamasa kubwa kwa wachezaji
SADICK
Wanasema mashabiki ni mchezaji wa 12 kwa timu,kuhamasisha na kuwapa morali wachezaji. katika hali ya ugonjwa wa Corona kipaumbele ni maisha ya watu.Enrique katisha sana #meridianbettz
Theckla
Hakuna jinsi zaid ya kukubaliana na hali halisi
Neema hassan
Yatupasa tuwe wavumilivu katka kipindi hiki cha korona…
Furahav
Daah nikweli bila mashabiki hainogi,ila hakuna jinsi,iwe hivyo tu.
Evaluziga
Haina jinsi tukubali kutokana na hali ilivyo
Salma
Hakuna namna
Ester
Kweli kabisa kutokana na hili tatizo la ugonjwa wa corona hatuna budi kufanya hivyo
Gabriel
Sawa na shughul kubwa then hakuna wahusika yaan hainogi kabisa
David pere
Ni sawa na pilau bila kachumbali kabisaaa
Antony Luseno
Kweli mashabiki wana motisha yao kwa wachezaji
lombo
duuh
aisha
Duuh hii sio nzuri maana mpira bila mashabiki nisawa na kucheza music peke yako
Dorophina
Ni kweli mashabiki wanaleta amsha amsha uwanjani na kufanya wachezaji wanapata amasa ya kucheza kwa bidii
Elika
Inabidi tukubaliane na hari harisi.ili kuepuka na haya maambukizi ya virus.ila ni vizur na ipo siku tutasahau yote tulikopitia hatimaye kwenye michezo yetu mashabiki kama kawaida
Khadija
na inawezekana vp mechi bila mashabiki #meridianbettz
Genia skaluzwe
Duuuuh
Rehema
Hii ni shida kucheza mechi bila mashabiki ili inakuwa ainajinsi
Ernest
Ni kweli soka linapoteza radha bila mashabiki maana wachezaji wengi wanapenda kufanya kitu uwanjani alafu kuona shangwe kutoka kwa mashabiki, wanaitwa wazee wa kucheza na jukwaa, pia inapunguza mzuka wa kukipiga bila mashabiki.
Tatu
Kweli kabisaaa
Rehema Dickson
Soka litapoteza radha bila mashabiki ila hakuna namna itabidi iwe ivyo maana huu ugonjwa ni hatari sana
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli kucheza soka bila mashabiki aipendezi ndoishakuwa Sasa akunakipingamizi corona imetuletea wakati mgumu Sana akuna jinsi
Mwanaidi
Kweli kabisa mashabiki ndio tunatiaa moral ya wachezaji kucheza kwa ufanisi mkubwa hata kusababiasha matokea mazuri uwanjani kukiwa hakuna mashabiki sawa na kazi bure hawawezi kuhamasika
Ester mmakasa
Dah huyu jamaa kawaza nini hadi katamka ivii?
Amani
kuhamasisha na kuwapa morali wachezaji. katika hali ya ugonjwa wa Corona kipaumbele ni maisha ya watu. #meridianbettz
Kenani
Usiniumizie lazma ziwepo ili kuchangamsha soka haswa wakiwa watoto wakike kwa wingi ndo inanoga Sana unaweza kupiga chenga ambayo hata ijawahi kupgwa duniani
Neema juma
Kwa kwelii hii ni kweli kabisaa
Hope mwaikuka
To be honesty mashabik wana raha yake uwanjan
Hamidu
Mpo vizuri kwa habari za michezo# meridianbettz
felister
mashabiki ndo wanawapa moral wa kucheza wachezaj lkn kutokana na ili janga tulionalo hatuna jinsi inabd wacheze tu bila mashabiki ijapokua hainogi
winfrida
luis umesema kweli kucheza mechi bila mashabiki akunogi
Theonestina
Duuuh atar saana jamani
frank patrick
Too much treatments za razima ambazo ni muhimu kufuatwa ila ndio zinapelekea mpira kutokuwa na radha kabisa yan
Asia Abdy
Ni kwel ila hamna namna
Magdalena
Inaboa bwana maana shabiki anakupa morari ya kucheza vizuri pale unapokuwa unacheza mpira uwanjani
#meridianbet
Agness
Nikweli hamna jinsi
Samiah
Hakuna jinsi
Warda
Ndo ishakuwa hivyo tena#Meridianbettz
Aziza mushi
Hakuna jinsi inabidi kukubaliana na Hali tu.
Carolyne
Tuvumilie tu
Povel
Duh thanks meridian bet kwa information
Shafii
Yuko sahihi kabisa
mathayo sonje
Kiukweli mashabiki wanaleta ladha fulani katika soka sasa wanapokosekana inapunguza utam fulan kiwanjan
Hidaya Mohammed
Duh imesikitisha sana raha mpira uwanjani kuwepo na mashabiki
Nasra
Ni sahihi
Isaya massawe
Mashabiki wana umuhimu sana
Tahiya
Kwer siyo Poaw Yaani bila mashabik haina vibes
Emmy cleopa
Hakuna namna
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Mwanahamisi
Hakuna namna
Mwajuma
Yupo sahihi lakini kwa ukubwa wailigojwa bora wacheze bila mashabiki
Devotha
Ni kweli lakini hakuna jinsi itabidi iwe ivo