Unatazama fainali za michuano ya eEURO 2020 wikiendi iliyopita pamoja na hii ijayo? Pengine hili litakushawishi wewe.
Hatua za mwisho za timu za taifa katika mashindano ya michezo ya mpira wa miguu kulikuwa na matukio yaliyoanza mnamo saa 13:45 CEST siku ya jana Jumapili, na saa 10:45 CEST siku ya Jumapili. Uliitazama?
Hizi hapa ndiyo sababu za kufanya hivyo:
1. Ni mchezo wa moja kwa moja hewani!
Katika muda wa miezi kadhaa iliyopita gemu kadhaa zimekuwa zikichezwa tena na tena na zimekuwa bomba sana, ni nzuri mno. Lakini hebu tukubaliane na ukweli kwamba hakuna kitu kizuri kinachovutia kama unapokuwa hujui yanayokuja na yakaja kukushtukiza tu.
Unawazaje kuzungumzia suala la kwamba miongoni mwetu tumejitolea muda mkubwa sana kutazama michuano hiyo? Fainali za eEURO zinakupa wewe muda wa masaa 18 ya kuona matukio ya moja kwa moja kwa muda wa siku mbili na hakuna kitakachoharibika hapo.
Unadhani ni nani atakuwa mfalme wa eEURO 2020?
2. Angalia timu yako sasa…
Michuano ya mtandaoni ya UEFA EURO 2020 imehairishwa kwa sasa kwa muda wa miezi 12 lakini wanaopenda soka la mtandaoni wanakuwa na sapoti ya kutosha kwa timu zao pendwa. Hawajafuzu?
Lakini bado kuna zawadi za kupewa heshima yao kubwa. Kuna ile ya Luxembourg (idadi ya watu ni 600,000) kwa wale wanaoanza. Au unaonaje kuhusu kuvaa rangi ya nguo yako? Wachezaji wanaohusika katika hili wanatokea klabu za soka za Manchester United, Bayern, Galatasaray, Monaco, Schalke, Nantes, Celtic, Verona, Genoa, Empoli, OFK Beograd pamoja na Göztepe.
Nitaendelea kesho…


Neema juma
Mmh asante kwa kutujuza #meridianbet
Swai
Great
winfrida
fainali za eEuro ziko vizuri sana
Antony Luseno
Nice update #meridianbettz
felister
asanteni kwa kutujuza wateja wenu
Povel
Gud update# thnks meridian bet tz
Ester mmakasa
Asante meridianbet kwa makala za kueleweka.
Magdalena
Ahsante Sana kwa taarifa njema kabisa
Aziza mushi
Asanteni meridian kwa kutujali kutupa taarifa kwa haraka🤙
Neema hassan
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Gabriel
Good update# meridianbet
aisha
Taarifa nzuri
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Hamidu
Asante kwa taarifa nzuri za kimichezo# meridianbettz.
David pere
Inavutia Sana kuangalia na burudani ipooo
Tahiya
Fainali ni siku inayosubiliwa na kupendwa mno mana kiu ni kuinua kombe
Hope mwaikuka
Tupo kwa hamu twasubr
Salma
Inavutia sana
dorophina
Vzr sana meridian bet
Lombo
safi
Theonestina
Saafi
Ernest
Waiting for the next chapter!!!!
Furahav
Iko poa sana.
Juliana
Asante kwa taharifa
Carolyne
Raha sana
Lydia Emmanuel Magoti
Habari njema
mwakalosi
maelezo mazuri ila tunahitaji maelezo zaidi
Emmy cleopa
Habar njema
frank patrick
Nasubiri muendelezo
Rehema Dickson
Ooh sawa nashukuru kwa lunijuza
SADICK
eSport ndio habari ya mjini#meridianbettz
Fatina mfingi
Makala nzur