Mshambuliaji wa Simba Sports Club Meddie Kagere amereje leo nchini ikiwa siku mmoja kabla ya siku ya kuingia kambi. Klabu ya Simba ilitangaza kuwa ifikapo Jumatano timu itaingia kambini huku wachezaji wa kigeni walioruhusiwa kurudi nchini kwao wakisubiriwa.
Kagere ameingia nchini leo mchana akitokea kwao Rwanda ambapo alienda kwaajili ya mapumziko baada ya Ligi ya VPL kusimama kwa sababu ya Corona.

Ikumbukwe mwezi wa tatu Waziri Mkuu alisimamisha shughuli zote za mikusanyiko ikiwemo michezo baada ya hofu kusambaa kwa virusi hivyo.
Wachezaji wa Simba waliokuwa nje ya nchi ni Kahata, Chama, Shiboub na Kagere.


mwakalosi
mzee wa jicho keshafika anata kuchungulia
SADICK
Karibu MK14#meridianbettz
Gabriel
Ajipange kama alikuwa karantini mazoez hakuna ajue yanga kila mchezaji hatar
David pere
Ni Bora alivyorejea mapema ili ajiandae vizuri
Hamidu
Karegeee is back#meridianbettz
Hamidu
Kageree
Povel
Ni habar njema kwa mashabiki na wapenz wa Simba thnks meridian kwa update
Magdalena
Habari njema Sana kwa sisi mashabiki wa Simba sports club
#meridianbet
Juliana
Kagere mnyama anan’gata tu( karibu)
Antony Luseno
Mambo soon yanakaribia kurejea tena VPL
Mwajuma
Karibu tena Tanzania
Rehema Dickson
Karibu Tena Tanzania kagele
Swai
Karibu tena nyumbani
Hope mwaikuka
Kagereee
Theonestina
Karibu sana kipenzi changu 😘😘😘😘
frank patrick
Meddy mtu mbaya
Zeiyana iddi
Hivyo vitisho tu simba wanajiami..!
Mariam mtandama
Safi sana
Tahiya
Mambo yanakaribia kupendeza
Neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa soka
aisha
Karibu sana kaka
Emmy cleopa
Kagele karibu sana
Genia Sikaluzwe
Kagele karibu Tanzania
Aziza mushi
Karibu kagere wetu👍🤦
Warda
Yanga wakimuona huyu wanachanganyikiwa#Meridianbettz
Devotha
Karibu tena
winfrida
mmmmh hana lolote mjanja mjanja tu
Neema juma
Karibu sana TZ
Ernest
Kagereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!! Heheheheheheheheheeeehheheehehe tilimisi sana hizi keleleeeeeeeeee
christopher
Karibu nyumbani Meddy Kagere
Shafii
Mk 14 tunamsubili tumshuhudie
Lombo
kagere mtu mbaya piga kaz braza wa TZ wamekuelew
Ester mmakasa
Kagere karibu nyumbani .
Khadija
Karibu nyumbani kagere tulikumic sana#meridianbettz
felister
habari njema kwa mashabiki wa simba
Ester jackson
Kama namuona manara anavyo tabasamu