Imeripotiwa Chelsea wana mpango wa kumsajili nyota wa Porto, Jesus Corona kama watashindwa kupata saini ya Jadon Sancho.
Blues wameshindwa kumshawishi Willian kubaki wakati mkataba wake unaenda ukingoniw na Frank Lampard amemuona kinda wa Borussia Dortmund, Sancho ni mbadala sahihi kwake kipindi hiki cha majira ya kiangazi.
Japo, Chelsea wamelazimika kuingia sokoni kutafuta mbadala wake, ikiwa Manchester United wapo kwenye nafasi nzuri ya kukamilisha dili la kinda wa kimataifa wa Uingereza.

Mchezaji wa Bayer Leverkusen, Kai Havertz amehushiwa kutua Stamford Bridge kwa wiki kadhaa ni mmoja ya washambuliaji wenye uwezo mkubwa ambae anawaniwa na miamba hiyo ya Premier League.
Winga wa Porto, Corona amekuwa mbadala wa Chelsea kama watamkosa Sancho.

Corona amefunga magoli mawili na kusaidia saba kwenye Ligi ya Ureno msimu huu, mchezaji huyo ni mbadala nafuu wa Sancho wakati Porto wakihitaji £26million kumuuza.
Japo, Chelsea wanaweza kupata ushindani kutoka kwa Inter Milan na Sevilla ambao nao wanahitaji huduma ya straika huyo wa Mexico.


silva tira
habar nzuri
Rehema
Corona ni hatari sn
mwakalosi
sancho Chelsea itawaladhimu walipe pesa nyingi sana kama watahitaji sign yake
SADICK
Hilo jina litamupa umaarufu kuliko uwezo wake#meridianbettz
Gabriel
Japo anajina la Kik ila uwezo pia anao corona mshambuliaj mzur
Isaya massawe
Wamchukue atawafaa sana
Mwajuma
Itakuwa poa sana wamkimpata corona
David pere
Hilo jina litampa umaarufu Sana atajulikana Kama ilivyojulika corona yenyewe
Evaluziga
Corona inatisha sana
Ester
Daaah William kuondoka Chelsea hii ni hatari kama watapata saini ya mchezaji Sancho basi itakuwa safi kabisa
Tahiya
Duuuh ili janga ni hatari sana
Hamidu
Asante kwa habari nzuri za michezo#meridianbettz
Samiah
Corona inatisha
Antony Luseno
Welcome to Stamford bridge #meridianbettz
Povel
Habar njema thnks meridian bet kwa update
Magdalena
Wamchukue yupo vizuri Sana ingawa jina lake linatutishia amani
Tatu
Asante kwa taarifa
Carolyne
Jina lake linatisha
Rehema Dickson
Jina lenyewe corona wamchukue atakua hatari kama ugonjwa wenyewe
Juliana
Mmmmh!
dorophina
Tnx meridian kwa taarifa za kimichezo
Agness
Duuh corona hatari
Theonestina
Asante meridianbet kwa taarifa
Elika
Chelsea wataweza kweli
Hope mwaikuka
Jina baba jina hilooo
Aziza mushi
Corona ni jeshi wamchukue 👊🤸
Mwanaidi
Corona yupo vzr tena ni mchezaji mahiri sana wamchukue tu
frank patrick
Wamchukue CORONA jamaa anaupiga mwingi sana Sancho atakuja na pressure kubwa sana itampa shida
Mariam mtandama
Duuuh
Emmy cleopa
Ahsante meridian kwa taarifa
Zeiyana iddi
Chelsea bado kabisa sijilini watu wenye viwango timu hinashuka daraja..!korona yupo vizuri
aisha
Corona inatisha jamani
Hidaya Mohammed
Corona anatisha kama corona yenyewe
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa habari njema
Neema hassan
Corona fundiii…chelsea wapande dau…
Neema juma
Jamani kumbe corona ni noma sanaeh. Ila hilo jina watu watamaanisha ugonjwa kumbe limeanza na jesus corona jina la mtu.
Devotha
Hee! Kumbe corona ni jina la mtu
winfrida
duuuuh ndo kwanza najua leo kama kuna mtu anaitwa corona
Kenani
Hahaha noma sana
Ernest
Bado ni chaguo sahihi kwa Chelsea
christopher
Nimependa hilo jina Jesus Corona
Shafii
Corona asije Chelsea ataleta gundu na jina lake
Samira
👍👍
Latifa juma mohamed
Habar njema
Asia Abdy
Good news
Lombo
corona kwenye ubora wake
Salma
Habari nzuri
Ester mmakasa
Mungu asaidie corona iishe.
Furahav
Wamchukue tu huyo jesus.
Lydia Emmanuel Magoti
Duuu noma sana
Khadija
Wanamtaka corona!!!jina tuu peke yake linatisha#meridianbettz
felister
hahaha ilo jina hatariii
isha
Jina kabali yao 😅😅😅😅😅