Kocha mkuu wa Simba SC, Sven Vandenbroeck amesema ni ngumu kushinda Kombe la FA kwani watani zao wanawinda taji hilo kwa lengo la kucheza Kombe la Shirikisho msimu ujao.
Mabingwa watetezi Azam FC na Yanga SC ni moja ya vilabu vinavyopambania kuiwakilisha nchi. Japo Mbeligiji huyo amekiri kuwa kushinda Ligi Kuu Tanzania Bara ni kipaumbele chao.

“Nafasi ya kushinda Ligi ni kubwa tuna alama 17 zaidi ya nafasi ya pili [Azam],” alisema Vandenbroeck.
“Tunahitaji ushindi kwa mechi nne kati ya kumi, lakini kwa Kombe la FA lazima tufanye jitihada za ziada kushinda. Bingwa wa Kombe anakwenda kushiriki mashindani ya Caf, kwahiyo timu zote zitaweka nia kwenye mashindano.
“Itakuwa ngumu kwani vilabu vinne vya juu bado vinashiriki mbio za kuwania taji hilo.”


mwakalosi
kocha hana morali wachezaji hawawezi kuwa na morali
SADICK
Kila la kheri Simba#meridianbettz
Gabriel
Vandenbroeck yuko sahihi kila la kher Simba # @#meridianbet
Isaya massawe
Yanga atuwezi kulikosa kombe la FA afadhali kocha wa simba kajitoa mapema
Rehema
Kocha Ana wachezaji
David pere
Ukweli kauona kabisa kwamba hawawwzi kuchukua FA
Evaluziga
Kocha anawachezaji
Neema juma
Kocha anaonaa mbalii
Adelta
Kocha Yuko vizuri sana
Ester
Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usuni .yanga pambana simba wanaanza kuonyesha udhaifu wao wa kutegemea watu wa sio kuwepo.
Povel
Ni kwl fA ni ngumu kila hatua timu znajipanga kwl thnks meridian kwa update
Tahiya
Kila la kheir Simba
Mwajuma
Vizuri kwakulijua hilo
Samiah
Kocha yupo sawa
Magdalena
Coach mzuri Sana uyu namkubal
Juliana
Mpila ni kama mbio za wendaazim, unashangaa kweli mechi nne zilizobaki asishinde
Hamidu
Kocha mbona ujiamin!Simba ni timu kubwa# meridianbettz
Antony Luseno
Kocha kaona mbali kwa FA wajipange sana
Carolyne
Muoga uyo
Rehema Dickson
Mdomo umeumbiwa kusema ila matokeo yote ni baada ya mpira kuchezwa na ndo kila kitu kitajieleza
Tatu
Coach nzuri sana
dorophina
Ni bora alivyojua mapema wawaachie wengine
Zeiyana iddi
Dalili ya mvua mawingu bhana..!simba hawana chao
Agness
Kocha mzuri huyo
Mariam mtandama
Duuuh
Hope mwaikuka
All the best kwao
Emmy cleopa
Kocha yupo vizur
Mwanaidi
Kila la kher kwa Simba Sport Club
frank patrick
Kauli za kutoa pressure kubwa wachezaji …big IQ
aisha
kocha yuko bombaa
Genia Sikaluzwe
Kocha yupo vizuri
Hidaya Mohammed
Simba juu zaidi
Neema hassan
Kocha mzuri#meridianbettz
Aziza mushi
Kocha makini.
Warda
Anatuvunja moyo#Meridianbettz
Devotha
Kocha yupo sahihi
winfrida
kocha mbona muoga uyo ajiamini
Kenani
Ni kukaza tu na sio kukata tamaa
Ernest
Simba mnyama atachukua tuuu
Shafii
Tusubili tuone
Latifa juma mohamed
Simba mnyama hashindw kitu
Ester mmakasa
Ndo wanatakiwa wajiamini na wafanye jitihada ili watwae kombe la FA.
Lombo
acha woga
Salma
Kila la kheri simba
Furahav
Hatari.
Lydia Emmanuel Magoti
Kira laheri Simba/Meridian asanteni kwatarifa
Lydia Emmanuel Magoti
Kira laheri Simba
Khadija
Simba timu kubwa#meridianbettz
felister
mnyama