Serie A Inarejea kwa Kishindo

Vilabu vya Serie A vitacheza mechi mbili kwa wiki kwa mechi zilizosalia pale Ligi itakaporejea Juni 20.

Kutakuwa na mechi karibu kila siku Ligi itakaporejea mpaka siku ya mwisho Agosti 2.

Kuna mizunguko 12 imesalia na mechi nne za ziada zikiwemo.

Serie A itaendelea kwa mechi nne kwanza zilizohairishwa kutoka mzunguko uliopita kuanza na Torino vs Parma na Verona vs Cagliari, Juni 20.

Siku iliyofuata tutashuhudia Inter Milan wakiwakaribisha Sampdoria wakati Atalanta watakuwa wenyeji wa Sassuolo.

Juni 22 kutakuwa na mechi tatu ikiwemo vinara wa Ligi ya Serie A, Juventus wakiwakabili Bologna.

Nafasi ya pili Lazio, ambao wako alama moja nyuma ya Juve, watacheza mchezo wao siku mbili mbele ugenini dhidi ya Atalanta.

Juventus wataialika Lazio, Julai 20.

38 Komentara

    Natamani kumuona Ronaldo akifunga bao dhidi ya lazio

    Jibu

    Duuu itakuwa raha sana siku hiyo tunaisubiria kwa hamu

    Jibu

    Safi kabisa kila siku mpira tu mda ushakuwa mweusii

    Jibu

    Tumemis sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Ipo poa sanaa

    Jibu

    Iko vizur sana

    Jibu

    Irejee tu

    Jibu

    Moto utawaka

    Jibu

    Safi kila siku mpira tu mda ushakuwa mweusii

    Jibu

    Tuliisubiri kwa hamu sana asanteni kwa taarifa aisee

    Jibu

    Mambo yanaanza kuwaka kwa ligi kurejea

    Jibu

    Irud tu tuna hamu sana

    Jibu

    Mikeka kama yote inafata

    Jibu

    Tunasubir kwa amu michano juventus vs lazio..! bonge la mpambano

    Jibu

    Wazee 3+ tutakuwa wanene muda so mrefu ,maana pesa hizoo

    Jibu

    Itakuwa Raha Sana tunamsubiri

    Jibu

    Kishindo kiwepo kweli sio tunabeti then wanatuangusha

    Jibu

    safii

    Jibu

    Tunaisubiria kwa hamu na mbwembwe zote.

    Jibu

    I cant wait kumuona Ronaldo..

    Jibu

    itakuwa nouma sana ligi itakuwa na mikimiki sana

    Jibu

    Mbona Uhondo kwa kwenda mbele, hapa EPL, pale Bundesliga, kule Laliga na Serie A. Tunasubiri kuona kandanda safi#meridianbettz

    Jibu

    Tulikuwa tunasubiri kwa Hamu .

    Jibu

    Kandanda iyoo inakuja tunaisubiri kwa nguvu zote

    Jibu

    Yani tulikuwa boadi Sana yani nipo ziludi tukiwakishe Mambo mazuri

    Jibu

    Habar njema# meridianbet

    Jibu

    Habar njema kwa wapenzi wa Seria A na wazee wa majamvi

    Jibu

    Wateja kweli ili mambo yaende vizuri watu tupate bueudani

    Jibu

    Tunaisubiri kwa ham

    Jibu

    tumemisi mambo ya fundi wa mpira CHRISTIANO RONALDO, ianze tuongeze mapato kupitia meridianbet online jamani.

    Jibu

    Itakuwa pouwa sana kuona Serie A nayo ikirudi kumalizia league.

    Jibu

    hii no weka tu weke na bandika bandua anyway wachezaji wajiandae maana kazi iliyombele yao ni nzito

    Jibu

    Siyo kizembe tena ni mwendo wa kuandaa majavi ya kutosha na kuuaga umaskini

    Jibu

    Ni habari njema sana kwa wapenzi

    Jibu

    Ni habari nzuri watu wa soka.

    Jibu

    Guds new kwa wapenz wa cr7

    Jibu

    Tunaisubir kwa hamu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.