Hasenhuttl Alamba Mkataba Mpya Southampton

Meneja wa Southampton, Ralph Hasenhuttl amekubali kusaini makubaliano mapya na klabu ya Southampton.

Mkataba wake mpya utamshuhudia akisalia klabuni hapo hadi mwaka 2024. Amekuwepo klabuni hapo tangia Disemba 2018 baada ya kumpokea Mark Hughes, ni takribani miezi 16 tangu alipochukua kibarua cha umeneja.

Meneja huyu alikabidhiwa timu ikiwa na hali mbaya, hasa wakiwa wametoka kupokea kichapo cha 9-0 dhidi ya Leicester.

Meneja huyu, mwenye miaka 52, raia wa Austria aliiambia tovuti ya klabu kuwa uamuzi huo umekuwa mwepesi kwake kuufanya kutokana na uhusiano ambao ameujenga na klabu.

“Tunathamini falsafa zinazofanana, na hii ni sehemu7 kubwa ya sababu ya mimi kutaka kusalia hapa, na ninatumaini tunaweza kushiriki pamoja nyakati za mafanikio zaidi huko mbeleni”

Southampton wamekalia nafasi ya 14 kuelekea muendelezo wa Ligi Kuu Uingereza,    ambaye pia amewahi kuwa meneja wa RB Leipzig kule Bundesliga, ana matumaini kuwa wataweza kujikwamua kutoka katika hatari ya kushuka daraja, kwa sasa wapo pointi 7 kutoka kwenye mstari mwekundu.

53 Komentara

    Klabu inampa dhamana kubwa sana na natumai atawasaidia wasishuke daraja

    Jibu

    Pongezi kwake..

    Jibu

    Uwenda mambo yakawa mazuri kwa upande wao

    Jibu

    He deserve

    Jibu

    Yuko vizuri huyo kocha

    Jibu

    Duuh anazidi kula donge nono kuongezewa mkataba kwake ni jambo zuri sana

    Jibu

    Tunatumaini matokea yatabadilika upande wao

    Jibu

    Yes ni vizuri Sana kupewa mkataba mpya

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Sema kile kipigo cha liverpool kitamfanya asiwe anapata usingiz mzur

    Jibu

    anazidi kula donge nono kuongezewa mkataba kwake ni jambo zuri sana

    Jibu

    hongera kwake hasenhuttl

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Meneja huyu alikabidhiwa timu ikiwa na hali mbaya, hasa wakiwa wametoka kupokea kichapo cha 9-0 dhidi ya Leicester ilikuwa ni hatari sasa abadilishe mtazamo wa mashabiki

    Jibu

    pongezi kwake

    Jibu

    Meneja huyu, mwenye miaka 52, raia wa Austria anaweza kuwafanyia makubwa southampton pia kupewa mkataba itamfanya kufanya kazi kwa juhudi#meridianbettz

    Jibu

    Hongera sana kwake

    Jibu

    Pongezi kwake.👏

    Jibu

    Southampton wamenikumbusha wimbo wa Vanessa Williams wa Save the best to last#meridianbettz

    Jibu

    Pongezi zake nyingi

    Jibu

    Hassen nampenda jmn

    Jibu

    Natumaini atawaongoza vizuri na kuwapandisha daraja

    Jibu

    Mkataba wake mpya utamshuhudia akisalia klabuni hapo hadi mwaka 2024.pia ataisaidia sana timu maana ni kocha mzuri #meridianbettz

    Jibu

    Yupo vizuri huyo kocha

    Jibu

    Mchango wake ni mkubwa Sana southampton

    Jibu

    Habar njema sana kwake

    Jibu

    Hongera sana.

    Jibu

    Habar njema kwake

    Jibu

    Habar njema kwa wapenzi na mashabiki wake kila la heri kwny jakumu ya kazi

    Jibu

    Ni muda mwafaka kwa kuongezwa mkataba mpya

    Jibu

    hiyo ndio faida ya kufanya vema au kua na mafaniko mahali, kwa sababu kama angeharibu ilikua ndo byebyeee hiyo

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Kapata shavings

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Ralph Hasenhuttl ni Kocha mzuri, nadhani wachezaji wanahitaji kumuunga mkono ili kuifikisha timu mbali, Kila la kheri Hasenhuttl.

    Jibu

    sidhani kama mtu sahihi pale Southampton

    Jibu

    Kocha mzur sana

    Jibu

    Kocha yuko vizur sana

    Jibu

    Huyo kocha anastahili kupewa pongezi zake yuko vzr na pia atawaongoza vzr

    Jibu

    Anastahili pongezi nyingi

    Jibu

    Ni bahati iliyoje kuaminiwa ongera sana

    Jibu

    Anastahili mkataba huo kwa sababu ni kocha mzuri na anawafaa sana Southampton

    Jibu

    Hii ni habari njema kwa wapenzi na mashabiki wake kwa kweli mungu akubariki

    Jibu

    Hasenhuttl amejitahidi sana kwa Kweli kuisogeza timu#Meridianbettz

    Jibu

    Ni kocha mzuri Sana

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki

    Jibu

    Amestahili kuongezewa mkabata ni mmoja wa wachezaji wenye kipaji

    Jibu

    Ni kocha mzuri! Amestahili kuongezewa mkataba

    Jibu

    Hongera kwake Kila la kheri

    Jibu

    Kocha mzuri kwa vipaji vinavyochipukia

    Jibu

    Makofi kwake

    Jibu

    Pongez kwake
    #meridianbettz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.