Real Madrid Wapiga Chini Uhamisho wa Willian

Real Madrid wamekataa kumsaini nyota wa Brazili, Willian kwa uhamishe wa bure.

Mshambuliaji wa Chelsea, Willian atakuwa huru majira haya ya kiangazi wakati mkataba wake wa sasa utakapomalizika, anaweza kuondoka Stamford Bridge.

Real Madrid walionekana kumhitaji nyota huyo lakini miamba hiyo ya Hispania wapo tayari kumpa mkataba wa miaka mitatu.

Kocha Real Madrid, Zinedine Zidane anamkubali sana Willian lakini haoni kama anahitaji kuweka nguvu sana kumpata.

Wakala wa Willian, Kia Joorabchian amesema kipaumbele cha Willian ni kusalia Chelsea lakini ieleweke kama ataondoka Stamford Bridge atahamia klabu nyingine ya Premier League.

Tottenham na Arsenal wamehusishwa kumwania winga huyo lakini wameshindwa kukamilisha dili kwasababui ya kuyumba kiuchumi.

Joorabchian amesema: ”Willian alitaka kusiani mkataba wa miaka mitatu kupata mafanikio aliyoyataka kwa miaka mitatu na baada ya hapo aangalie wapi anaweza kwenda.

“Sera ya Chelsea kwa wachezaji zaidi ya miaka 30 atapewa mkataba wa miaka miwili tu kwahiyo tunapambana na hilo. Kwasasa Willian ana mkataba hadi mwisho wa msimu.

Willian amaitumika Chelsea kwa miaka saba tangu alipojiunga mwaka 2013, na ameshinda Ligi Kuu mara mbili, Kombe la FA na Kombe la Ligi.

40 Komentara

    Taharifa nzuri, kutokana ubora wake nadhani atachukuliwa sehem sahihi

    Jibu

    Angekiwa kijanaa angewasaidia lakini yule mzee mpira wake ushamalizka tayari

    Jibu

    Kote sawa atakavyoona yeye wapi pakwenda kwenye maslahi mazuri ataenda akitaka kubaki pia ni uamuzi wake

    Jibu

    Panapomfaa aende tu

    Jibu

    Real Madrid bado wanamuitaji kiungo wao

    Jibu

    Hawawezi kumuachia kirahisi rahisi ni jambo zuri walilolifanya Real Madrid

    Jibu

    Lampard huyu jamaa bado anamhitaji asiruhusu aondoke

    Jibu

    atakavyoona yeye wapi pakwenda kwenye maslahi mazuri ataenda akitaka kubaki pia ni uamuzi wake

    Jibu

    Chelsea bado tunakazi nae ya kufanya

    Jibu

    kutokana ubora wake nadhani atachukuliwa sehem sahihi

    Jibu

    Willian fundii timu pinzan haziwez kumuacha kirahis..

    Jibu

    Bado tunakuhitaji

    Jibu

    Baki tuu kaka william

    Jibu

    William mwamba sana namkubali vilivyo anajituma ipasavyo

    Jibu

    abaki tu

    Jibu

    Real Madrid walionekana kumhitaji nyota huyo lakini miamba hiyo ya Hispania wapo tayari kumpa mkataba wa miaka mitatu.bora asubiri dili hilo

    Jibu

    Baki tu mpambanaji ,bado tunahitaji uwepo wako.

    Jibu

    Mbna wana dharau Hawa…

    Jibu

    Bado tunakuitaji mpambanaji ma shuhuri sana

    Jibu

    Abaki tu kwa sababu huyo jamaa ni mpambanaji

    Jibu

    Sera ya Chelsea kwa wachezaji zaidi ya miaka 30 atapewa mkataba wa miaka miwili tu kwaiyo anaweza kwenda real madrid#meridianbettz

    Jibu

    Wasimruhusu haondoke bado mpira wake unaumuhimu

    Jibu

    Bado tunakuitaji mwamba

    Jibu

    Abaki tu uko uko chelsea #meridianbet

    Jibu

    Bora abaki Chelsea kwa mtazamo wng

    Jibu

    Abaki tu chelsea

    Jibu

    Haondoke akatafute changamoto mpya

    Jibu

    Washamuna ni mzee miaka 32 sio kidogo kwenye soka

    Jibu

    hili ni jembe ambalo chelsea watalikumbuka kama ataondoka, yuko vizuri, madrid wanalinga kwa sababu mkataba unaisha, wanataka dau dogooo, tumewashtukiaa!!!

    Jibu

    Atoke tu akapambane mbele kwa mbele

    Jibu

    Willian ni mchezaji hodari na bora, nadahni atapata timu ambayo atendeleza makali yake.

    Jibu

    huyu umri wake ni wakwenda juve sasa

    Jibu

    Bado tunamuhitaji william.maana ni mchezaji hodari sana

    Jibu

    Kutokana na umri kusogea nadhani asiweke masharti ya mkataba wa miaka 3 itamgharimu

    Jibu

    Ni mshambuliaji mzuri wachukue tu real madrid

    Jibu

    Huyo umri wake wa kubaki chelsea

    Jibu

    Abaki asiondoke

    Jibu

    Hatabak darajan awe mfalme tu

    Jibu

    Zidane hataki mchezo

    Jibu

    Chelsea kunamfaa zaid.abak tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.