Wachezaji wawili wa Benfica wamepelekwa Hospitali baada ya basi la timu kushambuliwa baada ya mechi yao ya kwanza bila mashabiki.
Mjerumani, Julian Weigl na Mserbia, Andrija Zivkovic walipigwa na vitu vyenye ncha kali na walipelekwa hopsitali kwa tahadhari.

Mabingwa wa Ureno Benfica wamekosa nafasi ya kuwakaribia wapinzani wao Porto juu ya msimamo baada ya kupata sare ya 0-0 dhidi ya Tondela.
Mashabiki walijitokeza nje ya uwanja kushabikia timu yao nje ya uwanja wa Benfica, Estadio da Luz.
Shambulio lilitokea wakati wakitoka uwanjani na kwenda kwenye uwanja wa mazoezi.
“Benfica walitangaza majeruhi wa shambulio hilo walikuwa ni wachezaji,” ilisomeka taarifa kutoka Benfica.
“Tutatoa ushirikiano na mamlaka husika kuwatambua walihusika kwenye shambulio hili.”


Warda
Jamani! Pole yao daa #Meridianbettz
Evaluziga
Pole yao bwana
winfrida
poleni sana ndo kutafuta uko ajali kazini
Neema juma
Hii haijakua sawa, korona haujaisha majanga mengine yanaongezeka. Poleni sana.#meridianbet
Mwajuma
Yani hasina za kutoingia uwanjani wamezimalizia kwa wachezaji kweli wametisha
Ester mmakasa
Jamani mungu awasimamie wapone warudi kazini.
Tahiya
So sad
Salma
Dan! Pole kwao
Asha mvugalo
SO SAD🙏🙏🙏🙏
Sadick
Mchezo wa mpira wa miguu unatuunganisha watu wote duniani so vitendo vya kihuni havikubaliki kabisa. Pole kwa sana kwa wachezaji na timu nzima ya Benfica#meridianbettz
mwakalosi
hiki kitendo sio cha kimichezo kabisa
Mwanaidi
Duub sio poa kabisa
Genia Sikaluzwe
So sad👏👏👏
isha
Duuh poleni sana bengica huo ndio mpira
Antony Luseno
Pole sana kwao ila kwa kitendo hichi ilibidi shabiki ata mmoja awajibishwe kwa tukio hili
Ester jackson
Pole kwa wachezaji na wachukuliwe sheria na sisi mashabiki tuvumilie kutokana na janga hili la corona tufuate maelekezo ya wataalamu wetu wa afya
Hope mwaikuka
I feel sorry for them
Hamidu
Game ilikiwa kali sana#meridianbettz
Rehema Dickson
Awapa pole sana kwao ila kwa kitendo hichi ilibidi shabiki ata mmoja awajibishwe kwa tukio hili
Christopher
Hii hatari
Agness
Duuh pole zao
Rehema
Hii mechi ulikuwa hatari
felister
polen sana hii inaitwa ajali kazini
Povel
SAD🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Hamidu
Beki mzuri..kwa Chelsea watakuwa wamelamba dume.
Ernest
Vyombo vya Dola vinatakiwa kufanya kazi, ni jambo LA aibu sana
David Pere
Mashabiki wengine kweli hawapendi timu yao ifungwe Ndio maana wamekuwa na hasira mpaka wakawashambulia wachezaji
Theckla
Pole yao watapona tu
Emmy cleopa
Pole yao
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana MUNGU awasaidie warejee salama
JULIANA
Jamani pole yao
mathayo sonje
hivi hawa wanaowafanyia fujo wanasoka wanakua na nia gani????, hili jambo inabidi lifanyiwe kazi ili lisije jirudia kwa wengine na kuleta maafa mengine
lombo
hao jamaa vp corona imewapanda kichwan nn
Amani
Hivi vitendo vya kiuni vinabidi kukemewa kabisa
Zeiyana
Duuuh..!bado mbinu ya kujiepusha na nakorona haijapatika sa kama mashabiki wanaenda hadi kwenye kiwanja inakuaje sa hapo..!sijui hiyo simba na yanga itakuaje watu watakaa hadi barabarani..!
Caroline
Pole yao
Magdalena
Habar za kusikitisha sana
Kenani
Hawa nao hawana lolote asahv
Lydia Emmanuel Magoti
Pole yao habali zakusikitisha Sana
Theonestina
Jamani daaah pole yao
Neema hassan
Mungu awaponye
Khadija
Vitendo vya kiuni inabid nikemewe#meridianbettz
Mariam mtandama
Duuuh
Dorophina
Duu hii Ni hatari sana
Samiah
Hii ni hatari sanaa
Shafii
Sad newz
farida ahmadi
Duh poleni Sana