Real Madrid walikamilisha uhamisho wa Eden Hazard kutoka Chelsea kwa ada ya €100M. Moja ya sajili za gharama zaidi klabuni hapo. Walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwa nyota huyu aliyekuwa msaada mkubwa kwa Chelsea kwenye EPL.
Hata hivyo, Mbelgiji huyu ni kama alikuwa hana bahati baada ya kuhamia Real Madrid, huku akionekana kuwa ataikosa sehemu kubwa ya kampeni ya msimu huu 2019-20.
Majeraha yamekuwa yakimuandama, na alifanyiwa upasuaji mwezi Februari. Alipata jeraha la enka kwenye mechi ambayo Real walipoteza dhidi ya Levante mwezi February. Kulikuwa na hofu kama ataendelea na kampeni ya msimu huu mapema.

Wengine walijiuliza kama angeweza hata kucheza tena na Real Madrid? ikumbukwe inakuwa ni kama miezi saba tu klabuni hapo. Uvumilivu ni kama ulianza kuwashinda wapenzi wa Real Madrid huku wakianza kumtupia kejeli mara kadhaa wakitaka kuona matokeo ya haraka ya kufika kwake Madrid.

Ukweli ni kwamba, Hazard amejaribu kuwapa Real Madrid kile wanachotarajia. Lakini jitihada zake zikakwamishwa zaidi na majeraha, akilazimika kukosa gemu 21 za Real mpaka sasa. Hizi zinakuwa ni mechi nyingi zaidi kuzikosa kuliko alizokosa akiwa na Chelsaea kwa misimu 8.
Hazard alikuwa anatarajiwa kuziba pengo la Cristiano Ronaldo kwa namna yake. Pengo ambalo mpaka sasa linatajwa kuwa halijapatiwa mwenyewe.
Upasuaji aliofanyiwa hazard ungeweza kumfanya akose sehemu yote ya ligi iliyosalia. Corona ikabadilisha karibu kila kitu duniani, pamoja na soka lililopewa likizo ya lazima ya karibia miezi mitatu.
Sasa soka lipo tayari kurejea, Hazard pia yupo tayari kurejea dimbani -mambo ya corona haya, vinginevyo jamaa angekosa mechi nyingi zaidi.
Kwa sasa, minong’ono inayoendelea ni kuwa je, kurejea kwake kutarejesha matumaini Real Madrid, na akafanya kubwa kuliko walilomtarajia na kuwanyamazisha wakosoaji wake? Wewe unafikiri nini kuhusu hili, weka maoni yako hapa chini, nitafurahia kuyasoma maoni yako.
Tumerudi na Ligi Kubwa Duniani! Bashiri Soka BETI HAPA



Sadick
Hazard ni mchezaji mzuri naamini msimu atafanya vizuri kuthibitisha thamani yake#meridianbettz
Asha mvugalo
Hazard ni mchezaj mzuri Sana thnks meridian tz
mwakalosi
kama akipewa muda zaid atakuwa msaada mkubwa
Mwanaidi
Ni mchezaji mahiri sana Hazard akijiapanga vizuri basi na mambo yatakuwa mazuri kwa Real
Salma
Kitu pekee wamuamin na wampe tena nafasi
Tahiya
Ni mchezaji mzur natumai ataleta ushindani
isha
Hazard yuko vizuri sana mimi namkubali sana
Hidaya
Hazard jembe wampe muda tu
Ester jackson
Hazard yuko vizuri sana na anaweza kufanya mambo makubwa kuliko wanavyo waza wao
Antony Luseno
Ukiachilia majereha kiwango cha Hazard katika Madrid hakiwezi kupanda haendani na timu
Ester mmakasa
Hazard alikuwa vizuri hapo nyuma ni matumaini yangu atakirudi ataweza kufanya vizuri Real na kwa mashabiki pia.
Hope mwaikuka
Namuelewa sana hazard
Mariam mtandama
Habari mjema
Christopher
Majeruhi yatamfanya astaafu maoema huyu jamaa
Khadija
Hazard yupo vzr sana#meridianbettz
Hamidu
Talent player
Adelta
Hazard Ni mchezaji mzuri sana
Rehema Dickson
Hazard ni mchezaji mzuri sana me mwenyewe namkubal sana
Agness
Hazard Yuko vizuri sana
felister
wampe nafasi anaweza akafanya vizuri uko mbeleni
Rehema
Kama akipewa muda itakuwa vizur sn
Povel
Hazard mchezaj mzur injuried tu ndo imezinguwah na Iman Kama hatarud hadhibitisha dhaman yake thnks meridian bet tz
Evaluziga
Wamuamini na wape Tena nafas
David Pere
Matumaini yanaweza kuwepo sababu kucheza mpira Ndio kazi yake
Theckla
Hazard namkubali sana
Aziza mushi
Hazard yupo vizuri sanaa
Elika
Hazard anajielewa sana..mimi pia namwelewa
Gabriel
Tokea aondoke hazard Chelsea imekuwa vibaya sana coz wamemuza kiungo mzur now anafanya vzur Madrid
Emmy cleopa
Hazard Yuko vizur
JULIANA
Asante kwataharifa nzuri
Mwanahamisi
Hazard namkubali sana
Genia Sikaluzwe
Hazard ni mchezaji ambae anajutambua
mathayo sonje
Mbelgiji huyu ni kama alikuwa hana bahati baada ya kuhamia Real Madrid, huku akionekana kuwa ataikosa sehemu kubwa ya kampeni ya msimu huu 2019-20.
lombo
habar njema
Zeiyana
Daah..!pole sana mpambanaji hazard mipango sio matumizi
marry mushi
nice
Amani
Ukweli ni kwamba, Hazard amejaribu kuwapa Real Madrid kile wanachotarajia. Lakini jitihada zake azijazaa matunda kutokana na majeraha
Caroline
Hazard yupo vizuri.ataweza
Mwajuma
Tumpe muda anaweza akarudisha kiwango chake
Magdalena
Matumaini yatarejea wakikaza buti
Kenani
Hazard ni mpambanaji lazma atafabya mageuzi msim huu
Lydia Emmanuel Magoti
Hazard yupo vizuri sana
Theonestina
Nawakubali Sana hazard Yuko vizur
Neema juma
Hazard ni mchezaji mzuri. Kwa uweza wa mwenyezi Mungu atapona hayo majeraha yake atakuwa sawa
Samiah
Gazard namkubali sanaaa
Neema hassan
Hazard fundi natumai ataleta mabadilko makubwa..
winfrida
Hazard amejaribu kuwapa Real Madrid kile wanachotarajia alicheza kwa bidii kwenye timu yake
Devotha
Apewe muda tu
Furahav
Akirudi tena atawasha moto zaidi.
Dorophina
Wakimpa mda atafanya vizuri sana
Sylvester
Hazard bora angebaki Chelsea kwani hajaonyesha makali yeyote Real Madrid #merdianbettz
Shafii
Nomaaa