Bundesliga wameonyesha kuungana na maandanao ya watu weusi yenye jina Black Lives Matter baada ya baadhi ya timu kuonyesha ishara ya kuunga mkono maandano hayo.
Borussia Dortmund na Hertha Berlin wachezaji kwa pamoja walipiga goti katikati ya dimba kabla ya kuanza kwa mechi Signal Iduna Park.
Wachezaji wa Dortmund walipasha misuli wakiwa na T-shirts yenye ujumbe “no peace, no justice” and “united together”.

Wachezaji wa Bayern Munich walivaa T-shirts yenye maneno “red against racism” kabla ya ushindi 4-2 dhidi ya Leverkusen.
Viongozi wa Bundesliga walivaa vitambaa mkononi vilivyosomeka “Black Lives Matter” wakati wa mechi.

Straika wa Mainz, Pierre Kunde alipiga goti baada ya kufunga goli la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi Eintracht Frankfurt.



Adelta
Good news
Antony Luseno
Dunia kwa ujumla inabidi iungane na hili swala la kupinga ubaguzi wa watu weusi
Tahiya
Ni jambo la busara kuungana kwa pamoja kupinga ubaguzi
Mwanaidi
Yani hili suala la ubaguzi kwa watu weusi limekuwa tatizo sasa ila watu wakiungana nahisi litaisha
Salma
Ni jambo la busara wao kuunga mkono
Dorophina
Tatizo hili limegusa kalibia dunia nzima inabidi tuungane kutokomeza hili tatizo
Agness
Asantee kwa taarifa meridian
Neema juma
Umoja ni nguvu wamefanya jambo la maana kugomba kuhusu ubaguzi
Elika
Ubaguzi sio mzur
Ernest
Imefika wakati sasa watu wote duania bila kujali tofauti zetu kuwa kitu kimoja
Rehema
Ila Watu wakiungana nahisi litaisha tuu maan ubaguzi sio mzuri
Asha mvugalo
Nikweli mana ubaguzi sio mzuri.
Sadick
All races lives matters not only black#meridianbetttz
Genia Sikaluzwe
Ubaguzi wa langi siyo mzuri
Mariam mtandama
Habari mjema
Rehema Dickson
kwa ujumla inabidi iungane na hili swala la kupinga ubaguzi wa watu weusi
Ester mmakasa
Ubaguzi wa rangi umepitwa na wakati ila bado wanauendeleza.
Hope mwaikuka
Habari nzur sana hii
Ester jackson
Kweli kwa kifo cha Alfred kimesisimuwa watu wengi na kuendelea kupingana zidi ya ubaguzi wa rangi kwa kila namna yake
Theckla
Ubaguzi sio mzuri wamefanya Jambo la kipekee sana
Samiah
Ubaguzi haufai cyomzuri
Devotha
Ni jambo jema ubaguzi sio mzuri
isha
Ubaguzi hautakiwi maana sisi ni watu wa mungu
Sadick
Jambo limegusa kila nyanja #meridianbettz
Evaluziga
Ni Jambo la kheri kupinga ubaguzi
winfrida
wamefanya vizuri sana umoja ni nguvu
felister
ifike mahali dunia nzima tuungane bila kujali tofauti zetu
Sylvester
Ubaguzi wa Rangi ni mbaya sana lazima dunia iungane kwa hili #safi sana bundesliga #meridianbettz
Khadija
Umoja ni nguvu wamefanya maamuz mazuli kushikamana #meridianbettz
mwakalosi
hili jambo limegusa karibia dunia nzima
Christopher
Dunia nzima imeguswa na hili
mathayo sonje
mambo ya msingi kama haya yanapaswa kuungwa mkono, kwa sababu jambo hili likifumbiwa macho linaweza kujirudia tena ulimwenguni
Furahav
Hii habari ni ya kusisimua sana.
Lydia Emmanuel Magoti
Ilijambo limegusa kalibia dunia nzima
Emmy cleopa
Habar njema
Mwajuma
Nijambo jema lakuigwa
Hamidu
Asante kwa taarifa
Mwanahamisi
Ubaguzi wa rangi sio mzuri
Zeiyana
Kupitia maandamano haya sijui kama litatokea tena ubaguzi dhidi ya watu weusi..!
lombo
asante kwa habar moto moto
JULIANA
Ubaguzi sio poa aise
Shafii
Binadam ote ni sawa tuache haya mambo
Kenani
Tukio la kikatili Sana hili limeumiza watu weng sana
Latifa juma mohamed
Ubaguz wa rangi upigwe Vita dunian kote
Frank Patrick
Justice for floyd
Rehema Dickson
kwa kifo cha Alfred kimesisimuwa watu wengi na kuendelea kupingana zidi ya ubaguzi wa rangi kwa kila namna yake
David Pere
Ukweli wanaujua lakini wanajidai Kama hawajui Cha kufanya
Isaya massawe
Wamefanya jambo zuri na la kuigwa
Warda
Kila mtu hili swala kaumia #Meridianbettz
Magdalena
Ubaguzi si mzuri umoja ndo mpango mzuri habari za kufurahsha hizi
Caroline
Ni vizuri tukaungana wote.adi Africa kupinga ubaguz wa rangi
Gabriel
Ujeruman na Italy kuna ubaguz wa kiaina
Povel
Gud update hv now
Hidaya
Ubaguzi wa rangi sio kitu kizuri binadamu wote ni sawa
Amani
Dunia kwa ujumla inabidi iungane na hili swala la kupinga ubaguzi wa watu weusi Kila binadamu Ana haki ya kuishi kwa uhuru
Issa
Ni tatizo kubwa sana linalowakumba watu weusi