Kroos Bado Yupo Madrid

Toni Kroos amefunguka kuwa anataka kuona muda uliobaki katika maisha yake ya soka, anamaliza katika klabu yake ya Real Madrid.

Kiungo huyo ameshinda taji moja la La Liga na Ubingwa mara tatu wa Ligi ya Mabingwa tangu atoke kutoka Bayern Munich mnamo 2014.

Mjerumani huyo ambaye ana kandarasi hadi 2023 huko Bernabeu baada ya kusaini Mkataba mpya mwaka jana, amesema kuwa hana mpango wa kuhamia mahali pengine.

“Katika ulimwengu wa mpira wa miguu miaka mitatu ni muda mrefu sana na lengo langu ni kuheshimu mkataba,” Kroos aliliambia jarida la Ujerumani GQ.

“Kufikia wakati huo nitakuwa na miaka 33 na nitakuwa na chaguzi zote; kuendelea hapa, kufanya kitu kingine au kumaliza kazi yangu. Kwa kweli, hamu yangu ni kumaliza kazi yangu hapa Real.”

53 Komentara

    Kroos ni moja kati ya midfielder wasiovuma ila wakiwa uwanjani ni habari nyingine

    Jibu

    Mchezaji mzr abaki tu real#meridianbettz

    Jibu

    Ni mchezaji mzur abaki tyuu real hata ivyo bdo anahitajika pia

    Jibu

    kroos ni mchezaji mzuri sanaa aendelee tu kubaki madrid ni bora zaidi kuliko kwenda sehemu nyengine

    Jibu

    Kroos ana akili nyingi na uwa anatumia nafasi zake ipasavyo

    Jibu

    Haendelee kuongeza kipaji chake wala asiondoke madrid

    Jibu

    Nimchezaji mzuri Sana asiondoke

    Jibu

    Nimchezaji mzuri Sana asiondoke Baki hapohapo

    Jibu

    Toni kroos yuko vizuri mno lazima tumpongeze

    Jibu

    Nikweli malizia tu hapo.

    Jibu

    Tatizo umri na kiwango chake kimeshuka hvyo itakuwa ngumu sana kuendelea kusalia Madrid

    Jibu

    Ni mchezaji ambaye Yuko vizuri tatizo umri na kiwango chake kipo chini kwaiyo itakuwa ngumu kuendelea madeid

    Jibu

    Ni Bora amalizie hapo hapo tu

    Jibu

    Kama uko na Uhuru na mambo yako na unafanya kazi yako vizuri baki tu kijana.

    Jibu

    moja kati ya midfielder wasiovuma ila wakiwa uwanjani ni habari nyingine

    Jibu

    Asiondoke abaki

    Jibu

    Kroos ni mchezaj mzur

    Jibu

    Kroos namkubali sana

    Jibu

    Mimi kama shabiki naheshimu sana maamuzi yake kwani namkubali sana

    Jibu

    Asiondoke abaki tu

    Jibu

    ASiondoke abaki

    Jibu

    Amalizie tu hapo hapo

    Jibu

    mjerumani mwenye kandarasi hadi 2023

    Jibu

    sio mbaya ni maamuzi mzuri apo ulipobakiza malizia tu miaka iliyobaki

    Jibu

    Ni mchezaji mzuri abaki tu hukohuko

    Jibu

    Kroos amalizie tu RealMadrid kwani bado yuko bora hapo

    Jibu

    Namutakia kila lakheri. Moja ya wachezaji ambao neno kuhama Real Madrid halipo kwenye kamusi yao ni Ramos#meridianbettz

    Jibu

    real Madrid inabidi wafanye mchakato wa kumtafuta mbadala wa huyu jamaa

    Jibu

    hata hivyo jua lisha zama, maana hata majeruhi yatamsumbua siku za baadae

    Jibu

    Toni namkubali sana huyu,kwa pasi za mwisho.

    Jibu

    Kiungo fundi ninaemkubali

    Jibu

    Kroos amalizie tuu Real Madrid kwakuwa bado yupo vizuri

    Jibu

    Abaki tu mbona ni mchezaji mnzur tu

    Jibu

    Kiungo fundi namuaminia

    Jibu

    Kiungo fundi ninayemkubali Sana#meridianbettz

    Jibu

    Madrid hawawezi kumuacha haende kroos..!kuna mengi kawafanyia ni bola hamalizie hapo hapo tu

    Jibu

    habr njema

    Jibu

    Ni wazo zuri

    Jibu

    Atulie hapo hapo amalizie mpira wake

    Jibu

    Inakua poa coz ni mkongwe anajua soccer linarnda vip abaki na ikiwesekana akifikisha muda awe msaidiz wa kocha

    Jibu

    Asiondoke amalizie tu hapo hapo

    Jibu

    Coach ajae huyu kwenye ulimwengu wa soka

    Jibu

    Kiungo mahiri abaki madrid

    Jibu

    Umri wake kwanza unamruhusu kumaliza mpira wake palee Wala asiangaike

    Jibu

    Nafikiri kroos anastahili kabisa kusalia real Madrid

    Jibu

    Bora abaki tu#Meridianbettz

    Jibu

    Abakiii aendelee kuipa nguvu madrid

    Jibu

    Real Madrid panamfaa.

    Jibu

    Huyu n streka ambaye awiki ila yuko poa

    Jibu

    Ni moja Kati ya wachezaj wasio kaa kwny midomo ya mashabik na wapenz wa soka dunia

    Jibu

    Madrid panamfaa sana.abaki tu

    Jibu

    Tatizo umri na kiwango chake kimeshuka hvyo itakuwa ngumu sana kuendelea kusalia Madrid Bora angalie changa Moto nyingine

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.