Mwanzo wa Matumizi ya Kadi Nyekundu

Ulishawahi kufikiria lini na ilikuwaje kadi nyekundu zilianza kutumika kwenye soka? Wacha tupashane hapa Meridianbet Sports!

Kuanza kutumika kwa kadi nyekundu ilikuwa ni moja ya maendeleo makubwa sana katika soka. Na haikuwa rahisi kuendana na mabadiliko hayo mara moja. Ni kama ilivyokuwa VAR, katika kizazi hiki cha digitali.

Kama ulikuwa haujui! Wazo la matumizi ya kadi hii kwenye soka liliamshwa na kupigiwa upatu sana na muamuzi Ken Aston.

Bwana huyu alijikuta akifikiri matumizi ya kadi hii baada ya kukwama kidogo kwa mda kwenye mataa ya barabarani. Ndiyoo, ni mataa kama ya Ubungo, yale yale! Baada ya kuona rangi za taa zile za kuruhusu magari alijiwa na wazo.

Kwa mara ya kwanza katika kombe la Dunia ilitumika mwaka 1970, kisha Ligi Kuu Uingereza -Premier League wakachukua wazo hili mwaka 1976.

Kama VAR ilivyo “Trend” kipindi hiki kwenye soka, basi miaka ya sabini, ishu ilikuwa ni kadi nyekundu katika mapinduzi ya soka. Kadri siku zilivyoenda mfumo wa makosa na adhabu uliboreshwa na kadi nyekundu ikawa sehemu ya soka ulimwenguni kwote.


PANDISHA THAMANI YA DAU LAKO NA FAI CAI SHEN

Wiki nyingine ya kushinda mamilioni ukiwa na kasino maridhawa za meridianbettz. Mchezo pendwa wa Fai Cai Shen unakupa thamani ya dau lako, kwa kiasi kidogo cha dau unaweza kushinda mkwanja mrefu.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

48 Komentara

    Duu alifikilia kwa kina sana maana mpira vita jambo huwez kuingia na dhana uwanjan ila vita yake watu 22 kugombea mpira mmoja ila bila kadi nyekundu basi wachezaj wasinge cheza kwa tahadhali kwa maana hata wakimuumiza mtu hawez kutolewa nje na muamuzi wa ndan ya uwanja bali ataonywa kwa maneno ila kadi nyekundu imesaidia kidogo wachezaj wawe na nidham kidogo kuogopa kutolewa na kugharimu timu yake

    Jibu

    Kumbe ndivo ilivyoanza wengi tulikuwa hatujui hii kitu asanteni kwa taarifa hii #meridianbettz

    Jibu

    🤔kumbe ndivyo ilivyo anza kweli meridianibet mnatujuza Mambo mengi sana👏

    Jibu

    Duu alifikiri kwa kina sana kumbe ndivyo ilivyoanza aisee meridianbet mko vzur

    Jibu

    Kumbe huo ndo mwanzo wa kadi nyekundu

    Jibu

    Habar mpya hii kwangu

    Jibu

    Duuuuh kumbe huo ndiyo mwanzo wa kadi nyekundu

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Ooh kumbe chanzo Cha utoaji wa kadi nyekundu

    Jibu

    Kumbe ndio ilivyoanza kweli meridian mnatupa uhondo

    Jibu

    Adhabu ya kadi nyekundu ni nzuri maan kuna wachezaji wengine ni jeuri uwanjani hii inawafaa

    Jibu

    Mnastahili pongezi meridiabetz hakika mnatuelimisha nakutupa ufafanuz mwingi katika michezo#meridianbett

    Jibu

    Adhabu yakadi nyekundu nizuri mahana Kuna wachezaji wengine nimajeri huwanjani kwaiyo kadi nyekundu Hina wafaha

    Jibu

    Ken Aston aliona mbali sana, Maana nadhani ungekuwa kama masumbwi maana kuna wachezaji wanacheza rafu mbaya sana watu wangevunjana sana, tuliocheza cha ndimu tunafahamu hili, watu miksa kucheza na viwembe na visu.

    Jibu

    Waliona mbali sanaa maana wachezaji wangeuwana uwanjani ,sababu hakuna maamuzi magunu ya kumtoa mchezaji nje ya pichi

    Jibu

    ahsanteni nilikua silitambui hili

    Jibu

    Asnten meridian kwa mwongozo mzuri wa makala

    Jibu

    Kumbe ndio ilivoanza matumizi ya kadi nyekundu duuuh!!!ahsanten kwa taarifa kwani nilikuwa cjui meridian bwana mnajua kutunogesha mashabiki wenu#meridianbettz

    Jibu

    Tnx meridian kwa taarifa maana nilikuwa sielewi hili jambo

    Jibu

    Kama kungekua akuna kadi nyekundu sijui ingekuaje..!wachezaji wangevunjana miguu uwanjani kuna kitu kama asira lazima ziwepo

    Jibu

    Nafikilia bila kadi nyekundu ingekuwaje#Meridianbettz

    Jibu

    Kadi nyekundu inaleta nidhamu kwenye mpira

    Jibu

    Kumbe! Pongezi kwake aliegundua kadi nyekundu maana alitumia akili

    Jibu

    Maboresho ya kila mchezo kufanya wa kuvutia huchukua hatua moja mpaka nyingine na kwa miaka mingi. Ni wazo zuri kwasasa VAR tunaona kama kimeo lakini mwisho wa siku itazoeleka na kuwa msaada kweli kwa refaree#meridianbet

    Jibu

    kadi nyekundu imesaidia kidogo wachezaj wawe na nidham kidogo kuogopa kutolewa na kugharimu timu yake

    Jibu

    Hii Ni habari njema kwa mashabiki

    Jibu

    Vizuri sana imesaidia kadi nyekundu kwenye soka

    Jibu

    Asante kwa kunijuza

    Jibu

    Haaah leo ndo nimepata kujua why mpiran waweke kadi nyekundu.. ndomana kumbe shule bila fimbo bado ujasoma maana kila mtu angejiamulia cha kufanya…..

    Jibu

    Menitoa vumbi leo

    Jibu

    Red card imekuja kirahisi ila inasaidia sa a kweny michezo Siku hz, bila hyo mpira usingekuwa unanoga

    Jibu

    Kumbe du

    Jibu

    Duh

    Jibu

    Duuh nilikua sifaham kumbe ndio ivyo

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri ya kusisimua nilikuwa sifahamu#meridianbettz

    Jibu

    Kumbe ndipo ilipo azia kadi nyekundu alifikiria sana Aston daah pongezi sana mana inasaidia sana uwanjani kwa nidhamu mana ingekuwa michenzo haina dakika maalumu watu wangefanya wawezavyo ## meridianbettz

    Jibu

    Kwel Ken Aston alibuni kitu kizur ambacho hadi sasa tunaona jinsi mpira unavyochezwa kistaharabu zaid maana najaribu kufuta picha hapo zaman kabla ya kuwepo kwa kadi nyekundu mpira ulikuwa unachezwa vipi na Kama mchezaji amefanya madhambi alikuwa anapewa adhabu gani swala la kuona mataa rang nyekundu inahashiria n kusimama n bonge la idea iko poa sana natumain kuanzia mwaka 1970 mpk now n miaka Kama hamsin hv tunatakiwa kumuenzi Ken Aston kwa Jambo zuri Kama hilo

    Jibu

    Bado nawaza km mpila ulikua unachezwa maan akuna sheria kali

    Jibu

    Ken aston kafanya jambo zuri sana maana bila kadi nyekundu wachezaji wasinge kuwa na hofu ya kuikosti timu na kufanya utovu wa nidhamu wakiwa uwanjani

    Jibu

    Nimeipenda sana hii article

    Jibu

    Bila card nyekundu sijui ingekuaje

    Jibu

    Asante meridian kwa kunijuza hili sikulijua hapo kabla

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa #meridianbettz

    Jibu

    Habari ya kusikitisha Sana kuingia na zana uwanjani ni Jambo baya Sana ila huku bongo hii Bado ipo kwenye mechi za mchangani refalii anachezesha mpira na zuna kiunoni kikiwaka tu analichomoa

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Maoni:Asante kwa kunijuza

    Jibu

    Ooh sikujua hlo

    Jibu

    Asante kwa makala hii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.