Kiburi Champonza Guendouzi

Nyota wa Arsenal, Matteo Guendouzi hajafanya mazoezi na kikosi cha kwanza kwa muda baada ya kuzuiwa kufanya hivyo na kocha Mikel Arteta. Mfaransa huyo amekuwa akifanya mazoezi na kocha wa viungo bila ya wachezaji wenzake kwa majuma mawili baada ya uamuzi wa kumkaba Neal Maupay kwenye koo wakati the Gunners ilipofungwa 2-1 dhidi ya  Brighton mwezi Juni.

Guendouzi alikwepa panga la lakini Arteta amekasirishwa na kitendo hicho cha kiungo huyo na kumweka nje kwenye mechi nne za mwisho. Alipozungumzia suala hilo, Arteta amesisitiza kuwa hali haijabadilika kuhusu suala hilo na kusisitiza hasira za Guendouzi zimeendelea kuwa tatizo.

Guendouzi alimkaba Maupay kwenye koo. Lakini ripoti zinasem ahali imeendelea kuwa mbaya kuliko awali kwasababu Guendouzi hajafanya mazoezi na wachezaji wenzake kwa muda.

Guendouzi aliitwa kwenye kikako na Arteta pamoja na Mkurugenzi wa Ufundi Edu baada ya tukio na wawili hao walishangazwa na na majibu ya maswali waliouliza kuhusu tukio. Mfaransa huyo ataendelea kufanya mazoezi peke yake mpaka hali itakapobadilika.

39 Komentara

    Huyu jamaa inapoelekea anaanza kuwauz ata mashabiki maana hasira zingine matokeo yake n hasara kubwa maana hapa inatatokea kuwa had muda huu anajikuta afanyi mazoez na kiwango chake kinazid kushuka na tatizo hilo linaweza kumchanganya kisaikolojia maana hata maupay mchezaji ambaye aliyemfanyia madhambi yuko na anaendelea na mpira na ukiangalia vzur inavyoonekana guendouz hapa anaonekana kama lile tukio limemfanya awe mnyonge sana na kuhisi ameonewa ila ukiangalia si kwel bal Ni Jambo ambalo waamuz waliliona

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Ni kitendo cha utovu wa nidhamu alichofanya ingawaje ni mchezaji mzuri na
    Inabidi amuombe radhi maupay pia na apate adhabu zaidi ya hiyo

    Jibu

    Duh majanga kwl sema nidhamu ndo kila kitu bhn

    Jibu

    Maoni:Duuuh Guendouzi unaagenda gan?

    Jibu

    Kwer kwenye mpila nidham kitu muhim sana

    Jibu

    Asante kwa habari za burudan na michezo#meridianbettz

    Jibu

    Heshima kazi

    Jibu

    Nidhamu ndo kila kitu.

    Jibu

    Duh noma

    Jibu

    Safii mchizi anazingua sanaa

    Jibu

    Duuuh atar

    Jibu

    Guenduz ni bado mchezaji mdogo lakini anashindwa kuheshimu eshima ya mpira still yupo arsenal anapaswa kua na nizamu na kujilikana ulimwenguni na kufanya makubwa kila mmoja akafaham uwezo wake.

    Jibu

    Kiburi hakifai

    Jibu

    Asante kwa update za michezo

    Jibu

    Habari mzuri

    Jibu

    Kibur si maungwana arteta anataka kumfundisha nidhamu mpira ni nidham ni taaluma sio uhuni tuu

    Jibu

    Sio kila sehemu pakuleta kiburi kakosea

    Jibu

    Habar njema, ukizingua km daladala ukishuka mwezio anakalia siti,kazi na heshma

    Jibu

    Kazin usilete kiburi

    Jibu

    ukiangalia vzur inavyoonekana guendouz hapa anaonekana kama lile tukio limemfanya awe mnyonge sana na kuhisi ameonewa ila ukiangalia si kwel bal Ni Jambo ambalo waamuz waliliona# meridianbettz

    Jibu

    Tabia njema ni jambo la busara sana

    Jibu

    Pole Guendouzi.acha kiburi

    Jibu

    Hajafanya vizuri

    Jibu

    Kocha nae anavisasi huyu#Meridianbettz

    Jibu

    Heshima kazi

    Jibu

    Sheria na kanuni za mchezo zinatakiwa zizingatiwe ukienda kinyume lazima upate adhabu

    Jibu

    Mtu ukiwa na kiburi huwezi kukubalika na mtu

    Jibu

    siku nyengine atajifunza

    Jibu

    Ilitakiwa wampe adhabu kubwa zaidi ya hiyo maana anakiburi

    Jibu

    Atajilekebisha kila kitu kitaenda sawa

    Jibu

    Duh hatari

    Jibu

    Nidhamu ni muhimu sana katika kila eneo siyo mpira tu#meridianbett

    Jibu

    Kiburi sio kizuri#meridianbettz

    Jibu

    naamini atabadilika

    Jibu

    Kiburi kazini si kizur chakufanya aombe radhi kwa kocha

    Jibu

    Kibuli kwenye kaz siho vizuri hakifai

    Jibu

    Guendouzi anatakiwa ajifunze nidhamu uwanjani na nje ya uwanja

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.