Klabu ya Juventus inajaribu kumsajili nyota wa Edin Dzeko kutoka Roma, wakati Moise Kean akiwa mbioni kurejea kutoka Everton kwa dili la mabadilishano na Aaron Ramsey.
Andrea Pirlo anafanya mchakato mkubwa wa mabadili ya kikosi kilichoachwa na Maurizio Sarri pale Turin, na mpango wake ni kubadilisha pia katika safu ya ushambuliaji.
Chaguo la kwanza la Pirlo katika nafasi ya kiungo wa kati anatajwa kuwa ni Dzeko ambaye anatajwa kuwa anakwenda kwa dau la €12m. Kwa mujibu wa La Repubblica, dili hili ni kama limekamilika kwa sasa huku €10m ikiwa ni ada na €2m ikiwa ni bonasi.
Hata hivyo, huyo siyo nyota pekee anayetupiwa jicho na Juventus, kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, pia Kean naye yupo kwenye rada ya Juventus. Kinda huyu wa miaka 20 alitokea katika Akademi yao ya vijana, na akauzwa kwenda Everton kwa €27.5m.
Taarifa zinasema kwa kuwa Juventus wanamuhitaji kinda huyu, wana namna mbili za kumrejesha klabuni hapo. Namna ya kwanza ni kumchukua kwa mkopo wa miaka miwili, wakiwa na sharti la kumnunua mwaka 2022. Huku Gazzetta dello Sport wakitaja mpango wa dili la mabadilishano na Aroon Ramsey.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


Shan
Juve wamepania kufanya maajabu msimu
Ujao seria a
Hope mwaikuka
Dzeko yuko vzur sana anafaa
Furahav
Pirlo anafanya jambo zuri.
aisha
Juventus hawakubali kabisa kukaa nyuma kazi ipo
Shafii
Tunatarajia kuiyona juve mpya ya pirlo msimu ujao.
JULIANA
Asante kwataharifa
Saupha mohamed
Juve sasa itakua vizuri zaidi
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki
magdalena
juventus hawataki kabisa kushindwa
Khadija
Habari njema kwa mashabiki#meridianbettz
Caroline
Kikosi cha Juve kitakua atari fire
Ernest
Pirlo sijui anataka kutengeneza bomu gani? Ngoja tuone
jullie
habari nzuri
Mwajumah
Habari njema kwa mashabiki
Theonestina
Msimu ujao Juventus patakuwa hapatoshi
lombo
saf
Issa
Juve wameamua season ijayo ni shida seria a
Genia Sikaluzwe
Safii
Sadick
Siku zote huwa naamini sio uamuzi mzuri kuuza mchezaji aliyekulia ktk klabu akiwa na umri mdogo sana endapo Juvuntus itamurejesha Moise Kean ina maana uamuzi wa kumuuza haukuwa sahihi#meridianbettz
Amiri Kayera
Juve itakua yamoto
Rose kapinga
Cjui juve itakuaje msimu ujao maana mambo yao ya motoo!!
Ester jackson
Good news
Njiku
Klabu ya wazee hahah ushindani ndani tu na sio njee wasajili vijana ili walete chachu ya kutwa taji la uefa champions
Frank P
Pirlo hataki mchezo kabisa kwenye kadirisha haka ka usajiri
neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa soka
felister
juve wameamua kufanya maajabu msimu ujao
Fatina mfigi
Nice!!
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri kwa sisi mashabiki
Devotha
Hot newz
Nasra
Habari njema
Rehema
Safi
Saupha mohamed
Good news
Asia Abdy
Safi sana
Sabrina
Inapendeza sn
Janeflora malisa
Nice
Zeiyana
Kean yupo vizuri sana ni mchezaji mdogo hanayejituma sana kwa uwezo alio kua nao ndio imefanya clabu yingi zimtolee macho
Sauda
Kikosi Cha Juve kitanoga sana
warda
Hapa Juve watakua wamepata kwa kweli
Johnmary joel
Nimchezaji mzuri sana#meridianbett
David Pere
Pirlo hataki mchezo kabisa kwenye kadirisha haka ka usajiri
Gabriel
Tunatarajia kuiyona juve mpya ya pirlo msimu ujao.