La Liga: Mkataba wa Messi Bado Ni Halali

Sakata la Lionel Messi kuondoka Barcelona linaendelea kupamba moto. Safari hii La Liga wameamua kuvunja ukimya na kutoa muongozo wa jinsi zoezi hili linavyoweza kumalizika.

Mapema Jumanne, Messi aliutaarifu uongozi wa Barcelona juu ya adhma yake ya kutaka kuondoka kwenye timu hiyo ambayo amehudumu kwa miaka yake yote ya soka mpka sasa. Imeripotiwa kuwa, mchezaji huyo hakutokea kwenye vipimo vya afya siku ya jana ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu ujao.

Messi amekuwa akishinikiza kuondoka kama mchezaji huru kulingana na kipengele cha mkataba wake kinachomuwezesha kufanya hivyo kila mwisho wa msimu. Japokuwa, uongozi wa Barcelona unasisitiza muda wa kipengele hicho kuwa halali uliishia Juni 30, 2020 na sasa atapaswa kuondoka kwa dau lililowekwa kwenye mkataba.

La Liga kutoondoa usajili wa Messi kama mchezaji wa Barcelona.

“Kwa kuzingatia utekelezaji wa sheria, La Liga haitothibitisha ombi la kuondoa usajili wa mchezaji mpaka dau lililopo kwenye mkataba likifikiwa.” tamko la shirikisho hilo limesema.

Majadiliano baina ya wanasheria wa Messi na uongozi wa Barcelona yanaendelea huku maridhiano yakiwa mbali kufikiwa.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

44 Komentara

    Huyu Messi Anapotezea Machungu ya kufugwa hahaaaaaa#Meridianbettz

    Jibu

    Asanteni meridianbet kwa makala nzuri

    Jibu

    Bora tuu aende akabadilishe upepo mwingine#meridianbet

    Jibu

    Acha Messi aende akabadilishe upepo tu#Meridianbettz

    Jibu

    Tetesi ya Messi kuondoka barca inazidi kupamba moto Messi sema chochote basi kuhisiana na hili

    Jibu

    Itakuwa Ni kweli messi anataka kuondoka maan izi taarifa zinapamban moto

    Jibu

    Wamuache aondoke tu

    Jibu

    messi kama kashautaarifu uongozi na kashaamua kuondoka wamruhusu tu

    Jibu

    Tatizo barcelona awajiamini wanaona wakimuachia mess andoke club yao itapooza kila kitu kina mwazo na mwisho

    Jibu

    Messi kashamua lake wamuache haende tuu kwasababu yeye Ndio uwamuzi wake aliouchukua kuondoka

    Jibu

    Kama anaondoka aende tu @meridianbettz

    Jibu

    Ki ukweli messi hanavyo wafanyia barcelona sio vizuri kama hanataka kustaaf angestaaf tu sio kuwapa watu jamba jamba

    Jibu

    Walimchokoza wenyewe wacha awaonyeshe cheche

    Jibu

    Wakati umefikah wamwache haende tu watafute mbadala wa kupromote ligi ya la liga tu

    Jibu

    Hatar tupu,messi gumzo mjini!!!

    Jibu

    Messi uamuzi ni wako wewe mwenyewe kuondoka au kuabaki barc

    Jibu

    Messi ni brand ya Laliga, nadhani wanahofia umaruufu utashuka. Kitendo cha Ronaldo kusajiriwa Juventus ilipaisha Serie A duniani kote#meridianbettz

    Jibu

    Noma sana.

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

    Hatar

    Jibu

    Kweli Messi amedhamiria kutimka barca.

    Jibu

    Asiondoke abaki tuu hapo ndio pans mfaaa

    Jibu

    duuu wamuache tu messi akaangalie maisha mengine EPL

    Jibu

    Mess kusepa barca ni ngumu sana kwakuwa barca itaahitaj pesa nyingi tu

    Jibu

    Acha messi aende kwan kambi popote

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Kuvunja mkatab wake shughur

    Jibu

    Duh! Pagumu hapo

    Jibu

    Messi ni mchezaji huru sasa Barca wanatakiwa watafute njia mbadala lakini Messi hawezi kubaki

    Jibu

    Kaitumikia sana barca asepe tu

    Jibu

    Aisee

    Jibu

    Iyo inaitwa mwenye kisu ndo mla nyama kazi kwao

    Jibu

    maisha popote

    Jibu

    asante kwa taarifa

    Jibu

    Messi atulize kwanza akili yake asijekujutia maamuzi yake

    Jibu

    Wamuache jamani akabadili madhari sehemu nyingine

    Jibu

    Dirisha la usajiri litakapo fungwa tutaelewa anabaki wapi.

    Jibu

    Messi aendee na kwengine

    Jibu

    naona laliga wanataka kumuweka sana messi wamuachie tu aende man city

    Jibu

    Msimu huu kweli Messi amehamua kutimka Barca wamuachie tu haondoke akatafute maisha sehemu nyingine

    Jibu

    Messi kashadhamiria kuondoka wamuache tyu

    Jibu

    Messi ni mchezaji huru sasa Barca wanatakiwa watafute njia mbadala lakini Messi hawezi kubaki

    Jibu

    Kambiii popote

    Jibu

    Hatarii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.