Tetesi zinasema Manchester City wanajiandaa kulipa kiasi cha pauni Milioni 450, ili kuweza kusajili Lionel Messi ikiwa ni mpango wa kumsajili kwa miaka mitano na sehemu ya mkataba huo kujiunga na timu New York City.
Tottenham ilijaribu kutaka kuingilia kati na kuvurugwa uhamisho wa kiungo wa Ajax Donny van de Beek, anayekwenda kujiunga na Man United.
tetesi zinasema Manchester United imefanya mazungumzo na Aston Villa wakati inajitahidi kufikia makubaliano ya mchezaji Muingereza Jack Grealish, 24.

tetesi zinasema Manchester United imejiunga na Liverpool katika kinyang’anyiro cha kumsaka kiungo wa kati ya Bayern Munich na Uhispania Thiago Alcantara, 29.
Leeds United imeonesha nia ya kumsajili kiungo wa kati wa Udinese raia wa Argentina Rodrigo de Paul,26, lakini imearifiwa kwamba hatua yoyote ya kumsajili mchezaji huyo itawagharimu pauni milioni 31.
Tottenham na Newcastle zimeonesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth na Norway Josh King, 28.
Valencia imemuulizia kiungo wa kati wa Arsenal Matteo Guendouzi, 21, raia wa Ufaransa.

Kiungo wa kati wa Barcelona na Chile Arturo Vidal, 33, atakuwa huru kurejea klabu yake ya zamani ya Juventus.
Kocha wa Inter Milan Antonio Conte anataka kumsajili kiungo wa kati wa Ufaransa N’Golo Kante, 29, kutoka Chelsea.
Tetesi zinasema Wakala wa Emerson Palmieri amesema Inter inapania kumsajili beki wa kushoto wa Italia, 26, kutoka Chelsea msimu huu.
Mshambuliaji wa Ufaransa wa West Ham Sebastien Haller, 26, amekataa fursa ya kujiunga na Hertha BSC.

Barcelona italazimika kulipa pauni milioni 12 ikiwa inataka kukatiza mkataba wa mshambuliaji wa Uruguay Luis Suarez, 33.
Wakala wa kiungo wa kati wa Roma Amadou Diawara amesema Arsenal inamwinda mchezaji huyo wa Guinea, 23.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


magdalena
city wajitahidi kutoa iko kitita ili wamnyakue messi
Lydia Emmanuel Magoti
Man City wajitaidi kukitoa kitita chapesa kumnyakua Messi kwasababu sio Kaz laisi kumnyakua jembe huyo
Tatu
Man city naona imeamua kumchukua mess barcelona nao kama wanasuasua kumuachia mess
Adelta
Kama Manchester city wamejipanga wamchukuwe tu lakini sithani Kama Barcelona watakubali@meridianbettz
Sadick
Antonio Conte inaelekea shabiki mkubwa wa Ngole Kante mpaka anamutaka Inter#meridianbettz
warda
Habari nzuri sana #Meridianbettz
Sauda
Citty acheni ubahili chukueni jembe hilo
Zeiyana
Messi ndio timu aliyo hichagua kwenda kuichezea man chester city so tunasubiri kuona hayo mabadilko kutoka kwake
Mwanahamisi
Habari njema
Salma ngende
Habari nzuri
Povel
Dirisha la usajil ulaya mambo ni moto yan waswahil wanasemah ugali moto mboga ya moto hatar sana ngoj tuone nan mwenye kisu kikali iliawez kula nyama
Rose kapinga
Pesa inaongea apo ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai!!!
aisha
Huyu messi sasa ndio habari ya mjini basi city wekeni mpunga mumchukue jembe uyo
Antony Luseno
Man united sijui wanafeli wapi kwenye usajili
Furahav
Habari nzuri.
Omary lukumbi
Man United wanazingua tuu
Mwajumah
Habari njema
Janeflora malisa
Wana Kwam wap
Fatina mfigi
Habar njema
Shan
Tetesi zimekaa poa.
Agness
Asante meridian kwa habari njema
rama
nitashangaa sana barcelona endapo watakata dau hilo kutoka kwa man city
Khadija
Habari njema
Samiah
Habari njema
Amiri Kayera
Man u ikifanikiw utakua usajir mzur
Hope mwaikuka
Usajili umekaa poa ila nataman Messi angeenda Chelsea sio man city
Ernest
Man U wamefanya kitu cha msingi sana kumsajili Van de Beek
Sabrina
Man city wajkaze basi wamchukue mess
Rehema
Bonge la makala
Rehema Dickson
Asante kwa habari nzuri#meridianbet
lombo
saf
farida ahmadi
Ni kweli Messi kuondoka Barcelona kwenda Manchester city ngoja tujionee wenyewe
Theonestina
Habari njema
Samira
Messi akitua man city itakua bomba sana
Shafii
Thiago alcantara yuko vizuri Sana man u wakibahatika kupata kandarasi yake itakua imelamba dume.
Saupha mohamed
Habari njema
Ester jackson
Chelsea ingependeza kama msingemtoa ngolo mana yuko vizuri jamani
Dorophina
Tetesi za Messi sasa zinaleta gumzo maana kila mtu anasema la kwake yy ndio mwenye maamuzi ya kuamua wapi anahitaji kwenda
Caroline
Asante kwa taarifa
David Pere
Dirisha la usajil ulaya mambo ni moto yan waswahil wanasemah ugali moto mboga ya moto hatar sana ngoj tuone nan mwenye kisu kikali iliawez kula nyama
Neema
Habari nzuri
Faraja molell
Yan apo pesa ndo kila ktu mancity achen ubahil
Gabriel
Imekaa poa sana 👍