Nahodha wa Man United na mchezaji wa timu ya Taifa ya Uingereza – Harry Maguire, anauwezekano mkubwa wa kurejeshwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa mwezi ujao.
Kocha wa Uingereza – Gareth Southgate, alimuondoa mchezaji huyo kwenye kikosi chake muda mfupi baada ya kusomewa mashtaka na kuhukumiwa na mahakama nchini Ugiriki alipokuwa mapumzikoni.
Taarifa zinasema, kufuatia kesi ya Maguire kukatiwa rufaa na hivyo mchakato mzima kutakiwa kuanza upya, sasa ni muda sahihi wa mchezaji huyo kurudishwa kikosini na kuendelea kuitumikia timu yake ya taifa.
Maguire kurudi kwenye kikosi cha Uingereza mwezi ujao.
Akijibu swali kama wamekuwa wakiwasiliana hivi karibuni, Southgate amesema ” Ndio.
“Tunawasiliana kwa kama wiki mbili na nusu sasa. Amekuwa kwenye wakati mgumu kwa muda na ninadhani huu muda atakuwa amepumzika vizuri.
“Nafikiri pia alihitaji huu muda wa kupumzika na sasa atakuwa tayari kurejea kwenye klabu yake, kimsingi tutamrudisha mwezi Oktoba.”
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


rama
vizuri sana maguire bado yuko fitii
Furahav
Akirudi litakua jambo zuri.
Neema
Ni sawa tu
Shafii
Nijambo zuri kwani Maguire ni beki mzoefu.
Hope mwaikuka
Inapendeza sana maana anajua wajib wake akiwa kazin
Sabrina
Itapendeza zaidi
Rose kapinga
Safi tuu
Issa
Beki kisik england
Agness
Ni Beki mzuri sana
Sauda
Anafaa sana, bado yupo fit.
Dorophina
Jambo jema Maguire bado yupo vizuri sana
Fatina mfigi
Bado yuko vizur
Adelta
Maguire Ni beki mzuri
@meridianbettz
magdalena
bora arejee aendelee kuitumikia timu ya taifa
Povel
Ni habar njema kwa mashabik wa national timu ya uingereza kwa nahodha wao kurejea kikosin
Ernest
Maguire ni mchezaji mzuri hivyo ni msaada mkubwa kwa timu yake ya Taifa
Janeflora malisa
Itapendez zaid
Sadick
Harry Maguire alifanya kitendo cha aibu kupigana,kudharau mamlaka ya Polisi na kutaka kutoa rushwa. Nahisi rufaa yake itakubaliwa kwa sababu Ugiriki siku zote huepuka mambo yatakayoharibu biashara ya Utalii#meridianbettz
felister
ni Jambo jema
Nasra
Nice
Caroline
Karibu tena.pole na matatizo yaliyokupata
Tatu
Ni jambo zuri
Mwajumah
Akiludi itakua jambo zuri#Meridianbettz
Shani
Ni jambo njema
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Bora alivyo ludi ajekutumikia timu yake ya taifa
Flomena
Nafikiri pia alihitaji huu muda wa kupumzika na sasa atakuwa tayari kurejea kwenye klabu yake, kimsingi tutamrudisha mwezi Oktoba.”
Saupha mohamed
Jambo zuri
farida ahmadi
Hi iko POA Sana
Amiri Kayera
Nic
Latifa juma mohamed
Ni sawa tu
David Pere
Nafikiri pia alihitaji huu muda wa kupumzika na sasa atakuwa tayari kurejea kwenye klabu yake, kimsingi tutamrudisha mwezi Oktoba.”
Isaya massawe
Maguire hatari sana
Gabriel
Nijambo zuri kwani Maguire ni beki mzoefu.
warda
Safi sana kikosi kitakua poa