Mke wa Thiago Silva, Belle Silva kuhusu mme wake kujiunga na Chelsea;
“Hatukupata muda wa kushauriana sana, ulikuwa ni uamuzi uliofanyika baada ya fainali ya Klabu bingwa Ulaya, kabla ya fainali Thiago hakutaka kusikia kitu chochote kuhusu kutakiwa na klabu nyengine.”

“Ndoto ya kuishi Uingereza na ndoto ya kutamani kuishi kwenye nchi inayozungumza kiingereza ili tujifunze hii lugha ilikuwa sababu kubwa kwa hii kutimia. Kwa kuwa Thiago ana mpango wa kuendelea kujihusisha na soka ata baada ya kustaafu, chaguo la kujua kuzungumza kiingereza lilikuwa kubwa sana ili limpe nafasi pana ya kujitanua sana hapo baadae. Uamuzi wa kujiunga na Chelsea tuliufanya wote kama familia lakini kiupande fulani aliufanya zaidi kwa manufaa yake.”
“Kila mtu amefurahishwa na huu uamisho. Na ata watoto wanaipenda Chelsea na mara kadhaa wamekuwa wakimuuliza baba yao kama itawezekana ipo siku ajiunge na Chelsea na kwa kuwa kwasasa wameshakuwa na wanaelewa misingi ya soka ni nafasi nzuri kwao.”

“Kwenda kutafuta nyumba ya kuamia kutafanyika hivi karibuni. Tutaenda London na itabidi watoto waache shule ili tuongozane pamoja kwenda kuangalia nyumba nzuri ya kuishi.”
“Sifikirii kama kutakuwa na utofauti mkubwa sana. Hali ya hewa zinafanana labda kikubwa itakuwa marafiki, kwasasa sina marafiki ndani ya London lakini hilo ni swala la muda tu.”
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Neema
Habarii nzuri sana hii
Hope mwaikuka
Chelsea ni club salama zaid kapambanie kipaj chako utimize malengo yako
Rose kapinga
Thiago piga kazi chelsea mambo yaende!!!
Sabrina
Thiago Silvia yuko vizuri chelsea imtumie vizuri
Issa
Silva beki makini
Agness
Makala nzuri
Sauda
Wana Chelsea wanakuhitaji Thiago, piga kaz
Fatina
Chelsea ni club tajiri ivyo kaza mwisho wa cku utaona mafanikio yako
Dorophina
Thiago ameenda sehemu salama Chelsea ni timu nzuri kwake kuitumikia
magdalena
jambo jema thiago kwenda chelsea najua atafanya makubwa zaidi
Povel
Silva Thiago natumain atatuonyesh kitu pale darajan na hatakuwah somo kwa mabek wanAo chipukiah pale darajan
Ernest
Ni Fursa nzuri sana kwa Thiago na pia anaongeza jambo kubwa sana kwenye career yake kucheza soka Uingereza.
Adelta
Hii iko Vizuri kwa beki Thiago@meridianbettz
Janeflora malisa
Hbr nzr kwa thiago
felister
ni Jambo zuri kwa thiago kutua chelsea
Mwanahamisi
Silva beki mahili
Nasra
Beki makini sana
Caroline
Chelsea chama kubwaaa
Tatu
Thiago kutua Chelsea ni jambo zuri wala hakukosea
Mwajumah
Ni Jambo zuri thiago kutua chelsea#Meridianbettz
Elika
Anajiamini sanaa silva
Shani
Safi kijana kwa umakini wako songa mbele!!
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Lydia Emmanuel Magoti
Chelsea wamempata bonge lamchezaji hanajua jamaa piga Kaz mzee baba
Flomena
Nyota huyu alipofika Man United alishindwa kuonesha ubora ule ule aliokuwa nao alikotoa, ambako alichukuliwa kama miuongoni mwa washambuliaji wa kali zaidi wa ligi ya Uingereza. Alikuwa analipwa £390,000 kwa wiki.
Saupha mohamed
Bali mzuri sana
farida ahmadi
Thiago ni mchezaji mzuri Sana
Sadick
Karibu Darajani Thiago Silva#meridianbettz
Latifa juma mohamed
Habari nzur
Amiri Kayera
Ongera kwake
aisha
Thiago yuko vizuri sana
David Pere
Ni Fursa nzuri sana kwa Thiago na pia anaongeza jambo kubwa sana kwenye career yake kucheza soka Uingereza.
Isaya massawe
Ikawaje sasa
Gabriel
Thiago Silvia yuko vizuri
warda
Silva amenifurahisha sana kutua Chelsea
Furahav
Silva beki kisiki.
Samiah
Huyo beki kisiki