Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 31, atasaini mkataba mpya wa miaka mitatu na klabu hiyo utakaomfanya kuwa mchezaji anayelipwa zaidi klabuni hapo.

Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta, 27, ataweza kuondoka Aston Villa miezi minane tu baada ya kujiunga na klabu hiyo.

Chelsea imekataa ofa ya Inter Milan kwa ajili ya kiungo wake aliyetwaa kombe la dunia N’Golo Kante, 29, ofa ambayo inajumuisha kubadilishana na kiungo wa Croatia Marcelo Brozovic, 27.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Mlinzi wa Manchester United Muingereza Chris Smalling, 30, hajahudhuria mazoezi wiki hii akikaribia kutua ligi ya Italia, Serie A, kwenye timu ya Roma, kwa uhamisho wa kudumu, timu ambayo aliichezea kwa mkopo msimu uliopita.

Kiungo wa Liverpool Georginio Wijnaldum, 29, amefanya mazungumzo yaliyoenda vizuri na meneja Jurgen Klopp kuhusu mustakabali wake klabuni hapo. Mholanzi huyo amebakiza mwaka mmoja kwenye kandarasi yake ya sasa pale Anfield.

Tetesi zinasema beki wa England na Tottenham Rose, 30, anakaribia kutimka Ligi kuu ya Uingereza kujiunga na kikosi cha Serie A Genoa.

Kipa wa Arsenal Muargentina Emiliano Martinez, 28, amekubali kandarasi ya miaka mine na Aston Villa, yenye thamani ya £60,000 kwa wiki, wakati huo vilabu hivyo vikitarajiwa kukubaliana ada ya uhamisho ya zaidi ya £15m.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Kiungo wa Manchester United na Brazil Fred, 27, amepuuza ripoti kwamba anaweza kuondoka msimu huu na kujiunga Galatasaray na Uturuki.

West Brom wako kwenye mazungumzo ya kumnasa mlinzi wa zamani wa Chelsea Branislav Ivanovic, 36, kwa uhamisho huru baada ya kutemwa na Zenit St Petersburg ya Urusi.

Kiungo wa zamani wa Manchester United Ravel Morrison, 27, yuko kwenye mazungumzo na klabu za Uholanzi za Vitesse Arnhem na Utrecht baada ya kutemwa na Sheffield United.

Mshambuliaji wa Liverpool na Wales Ben Woodburn, 20, anatarajiwa kujiunga na Sparta Rotterdam Uholanzi kwa mkopo wa muda mrefu wa msimu mzima.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema ofa ya Newcastle ya £32m imekataliwa na Lille kwa ajili ya kumsaini kiungo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 21, Boubakary Soumare.

Tetesi zinasema Fulham inataka kumsajili kiungo wa kireno, kutoka Benfica, Florentino Luis, 21, kwa mkopo wa muda mrefu kwa sharti la kumsajili moja kwa moja kwa ada ya £27m.

Porto imekataa ofa ya £22m kutoka Wolves kwa ajili ya kiungo wake Jesus Corona. Mkata wa nyota huyo wa Mexico mwenye miaka 27 una kipengele kinachotaka mpaka ilipwe ada ya £27m ndiyo aweze kuhama.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

https://mrdn.co/c9mbiozafarasi

37 Komentara

    New information.

    Jibu

    Asante kwa taarifa nzuri @meridianbettz

    Jibu

    Kweli tetesi ziko vizuri na klabu pia zimejipanga kuwasajili wachezaji wazuri#meridianbett

    Jibu

    Arsenal wamefanya Jambo zuri kumpa mkataba aubameyang yupo vizuri atawafaa katika msimu huu unaoanza

    Jibu

    Itakuwa vizuri Kama Aubameyang Kama ataweka saini yake kwenye krabu hiyo ya Arsenal itakuwa vizuri

    Jibu

    Aubameyang ni mchezaji anayelipwa zaidi klabuni arsenal

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Arsenal wamefanya Jambo zuri kumpa mkataba aubameyang kwan ni mchezaji mzuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    Klab zijipange kusajili vinara ambao wataleta mabadiliko katika timu

    Jibu

    Ni Jambo zuri kw arsenal kumpa shavu kijan

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Habari nzuri sana

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Asante kwa habari nzuri za michezo , Hakika Meridianbet ni nyumba ya Burudani

    Jibu

    Timu za England zimejipanga vzr kufanya usajiri ambapo kuna uwezekano kutawala ligi ya mabingwa Ulaya#meridianbettz

    Jibu

    Bonge la dili

    Jibu

    safii

    Jibu

    Auba ameonyesha ukomavu ndan ya arsenal na kumemfanya the gunners imuamin zaid

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Arsenal wamefanya jambo jema kumpa mkataba Aubameyang

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Safi sana#meridianbettz

    Jibu

    vzur

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Usajili makini sana msimu huu

    Jibu

    Auba Arsenal wasitoe boko tu watafanya vizuri wakimuongezea mkataba

    Jibu

    Tetesi hizi zimekaa vzur sana 👍

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Arsenal wamefanya jambo zuri sana kumbakisha Aubameyang

    Jibu

    Zimekaa poa.

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Taalifa nzur za usajir

    Jibu

    Arsenal wamefanya jambo la maana kumsajili Uyu kiungo

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.