Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Chelsea walikuwa tayari kumlipa mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi, 33, mshahara wa £1m kwa wiki kwa uhamisho wenye thamani ya £225m mwaka 2014.

Juventus wanapanga uhamisho wa £360m kumnasa mshambuliaji wa Paris St-Germain Kylian Mbappe, 21, klabu hiyo ya Serie A inaweza kumpeleka Cristiano Ronaldo upande wa pili.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Klabu ya Ujerumani ya Borussia Dortmund haina mpango wa kumuuza winga wa England Jadon Sancho, 21, katika dirisha dogo la usajili la January, ambaye alihusishwa na Manchester United katika majira ya joto.

 

Cardiff City imekubali kumsajili winga wa Liverpool Harry Wilson kwa mkopo, huku vilabu vya Derby County na Nottingham Forest vikimwania mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23.

Tetesi zinasema Arsenal inataka kuipiku Manchester United katika kumsajili mlinzi wa Villarreal, Pau Torres, 23, kwa kitita cha £35m mwezi January.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinzsema Middlesbrough inajaribu kukamilisha usajili wa winga Yannick Bolasie, 31, kwa mkopo kutoka Everton.

Tetesi zinasemaKlabu ya daraja la Kwanza England Swansea City inataka £18m kutoka Tottenham kwa ajili ya beki wake wa kati raia wa Wales Joe Rodon, 22.

Kuingo wa Manchester United Bruno Fernandes, 26, amekataa kumnyooshea kidole Ole Gunnar Solskjaer na wachezaji wenzake baada ya kipigo cha 6-1 kutoka kwa Tottenham kabla ya mapumziko ya kupisha mechi za kimataifa.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Mmiliki wa Derby County Mel Morris anasema meneja Phillip Cocu hatafukuzwa kama timu hiyo itafungwa ijumaa hii dhidi ya Watford, na kukataa pia taarifa kwamba mshambuliaji wa zamani wa England Wayne Rooney, 34, atambadili mdachi huyo.


Unapenda kuwa shujaa?

Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua. 

Cheza sasa 

Samurai Ken Online Casino

24 Komentara

    manchester united waangalie upange mwengine wasahau kuipata sain ya sancho ukingalia dortmund wanamuangalia sancho kama mchezaji wao tegemengi pale clabuni na sio laisi kumuuza

    Jibu

    Mhmh sio poa leo Chelsea wanataka Messi!!

    Jibu

    Cardiff wakimpaga Harry itakuwa poa sana.

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    chelsea sizani kama walikuwa na mkwanja wa kutosha juu ya kuwania saini ya messi

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Kutokana na safu ya ulinzi Man united kuwa mbovu Torres pau ilibidi asajiliwe ili kuimarisha ulinzi

    Jibu

    Chelsea wajipange vinginevyo watamsikia Messi kwenye bomba

    Jibu

    Updates zimetulia, Ila Mbappe kwa Sasa hawezi kwenda Juventus labda Madrid kwanza

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Chelsea sijui kama atampata mess

    Jibu

    Chelsea wanajisumbua Messi hawezi kuama barca

    Jibu

    Chelsea walikosa mtu

    Jibu

    Imekaa poa sana 👍

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Itakua Poa sana mbappe akitua juve

    Jibu

    United ijipange

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Chelsea mjipange sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.