Manchester City Wamtaka Haaland na Grealish

Manchester City wamtaka Haaland na Grealish

Pep Guardiola anaweza kufufua mashambulizi yake kufuatia kuondoka kwa mshambuliaji Sergio Aguero.

Manchester City
Erling Haaland Akiwa anashangilia.

Manchester City wamejiandaa kufanya kila inavyotakiwa kuwapata duo ya Erling Haaland na Jack Grealish, hata kama ada yao ya pamoja itafikia nambari tatu, inadai Daily Mail.

Manchester city
Jack Grealish Akiwa uwanjani

Haaland, 20, atatoka Borussia Dortmund tayari nyota mwenye matarajio makubwa kadri siku zinavyozidi kwenda, wakati Grealish, 25, atawasili kutoka Aston Villa akiwa bado chipukizi.


UNAWEZAJE KUKOSA KASINO YA BREAK AWAY LUCKY WILDS INAYOKUPA NAFASI YA USHINDI MURUA.

Break Away Lucky Wilds ni moja ya Sloti pendwa katika kasino za #meridianbet inayokupa mara 11,000X ya dau lako, unayo nafasi ya kuwa milionea unasubiri nini?

CHEZA HAPA

7 Komentara

    Hilo linawezekana

    Jibu

    Wanafaa

    Jibu

    City wasilembe vijana wanafanya kazi

    Jibu

    Wote wapo vizuri

    Jibu

    Wote wapo vizuri

    Jibu

    Wote wapo vizuri

    Jibu

    Kumbe ndo maana wanamtaka Haaland wapate nguvu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.