Owen: Liverpool Itashinda 2-1 Leo!

Mchezaji wa zamani wa Manchester United Michael Owen ameibuka na kutabiri kwamba Liverpool itapata ushindi wa 2-1 katika mechi yake ya mkondo wa pili wa robo fainali dhidi ya Real Madrid.

Liverpool watakutana na Real Madrid usiku wa leo pale Anfield, na watalazimika kupata ushindi wa 2-0 ili waweze kujishindia nafasi ya kwenda nusu fainali. Owen anaamini kwamba kutokana na uwezo wa Liverpool wanapokuwa nyumbani basi leo anaweza kushinda kama alivyofanya nyuma.

Liverpool wamekuwa na wakati mgumu wakiwa nyumbani msimu huu, japo hilo halijaonekana katika UEFA. Katika mchezo wa mkondo wa kwanza, Liverpool alifunga goli 3-1, huku goli lao pekee likifungwa na Mohamed Salah.

Liverpool wanaaminika kufanya mapinduzi makubwa katika mechi za marudio, wakikumbukwa kufanya hivyo katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali dhidi ya Barcelona ambapo walipindua matokeo ya 3-0 kwa kushinda 4-0 pale Anfield.

Katika mahojiano rasmi, Owen alisema “Liverpool wamekuwa wakifanya makubwa sana Anfield….japokuwa na imani watashinda lakini wataenda zaidi mpaka kwa 2-1”


JILIPE KWA NAMBA ZAKO ZA BAHATI NA KENO

Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.

CHEZA HAPA

4 Komentara

    Real Madrid wapo vinzuri sidhani kama liverpool wataweza kuwafunga

    Jibu

    Mashabiki tunasubiri tuone maajabu ndani ya dakika90

    Jibu

    Sawaa tunasubiri tuone

    Jibu

    Mtabili kama onyango

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.