Gemu imeisha kwa sare ya 1-1. Wolves amekutana na Man City leo akiwa na mzimu wa kichapo 2-0 kutoka kwa Leicester huku akitoa sare na Everton akikutana na mbabe aliyewachapa Huddersfield goli 6-1 na Arsenal 2-0. Gemu ilikuwa nzito wakati Man City akianza kumiliki mprira kwa asilimia kubwa lakini akashashindwa kufanya mashambulizi yenye matunda hadi aliposhtuliwa na goli la kwanza.
Angalia chati ya kilichotokea ;
Wafungaji
Willy Boly (57′)- Wolverhampton Wanderers
Aymeric Laporte (69′) – Manchester City
Umiliki wa mpira
29% –Wolverhampton Wanderers
71% – Manchester City
Mashuti Golini
11 (2) – Wolverhampton Wanderers
18 (6) – Manchester City
![]() |
![]() |
|
|---|---|---|
| 13 | Mipira ya adhabu | 8 |
| 1 | Kadi za njano | 2 |
| 0 | Kadi nyekundu | 0 |
| 4 | Ofsaidi | 3 |
| 5 | Kona | 9 |
| 5 | Mipira iliyookolewa | 1 |




Povel
Gud news
Fatina mfingi
Asante kwa taarifa meridianbet