Ndondi: Myweather Vs Pacquiao Tena!

Floyd Mayweather amesema anarudi ulingoni kuzichapa na Manny Pacquiao. Mabondia hawa walichapana mwaka 2015 mwezi Mei huku Mayweather akishinda kwa kumzidi pointi Pacquiao.

Mayweather alitangaza kustaafu akidai hataingiua tena tena ulingoni labda kuwe na dau nono zaidi. Sasa Mayweather ametangaza kurudi tena ulingoni.

Kupitia picha ya video inayosambaa katika mitandao mbalimbali bondia huyu amesikika akisema anatoka kwenye ustaafu wake na kuingia kupambana tena na mpinzani wake wa mwaka 2015.

Pambano la mwisho la bondia huyu ilikuwa mwaka 2017 akizichapa na McGregor, pambano hili lilimuendesha hadi raundi ya 10 alipofanikiwa kumchapa kwa KO. Baada ya hapo alitangaza kustaafu na sasa anataka kurejea, Kunani? au ni dau tamu kama alivyodai ndio liingemrudisha ulingoni!

4 Komentara

    Namkubali sana my wreather

    Jibu

    Bonge la pambano hlo

    Jibu

    Mayweather ngumi jiwe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.