Baada ya Nyota wa Juventus, na Timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo Cristiano kufikisha Wafuasi (Followers) Milioni 300 katika mtandao wa Instagram siku ya jana kwa sasa yeye ndiye binadamu pekee mwenye Followers wengi zaidi katika mtandao huo.

Hii ndiyo Top 10 ya watu wenye wafuasi (Followers) wengi zaidi katika mtandao wa Instagram.
1. Cristiano Ronaldo : 301M
2. The Rock : 247M
3. Ariana Grande : 244M
4. Kylie Jenner : 241M
5. Selena Gomez : 238M
6. Kim Kardashian : 229M
7. Leo Messi : 219M
8. Beyonce : 186M
9. Justin Bieber : 178M
10. Kendall Jenner : 170M
SHINDA TSH 150,000,000/=
Mtaani kumechangamka, washkaji wanakamata mkwanja kwa mkakati tu na Footbal Fever! Ni rahisi, changamkia fursa hii kushinda mgao wako wa TSH 150,000,000/= 💰🤑


