Rashford Akanusha Kuthibitisha Sancho Kutua United

Usiku wa jana akaunti ya twitter ya Rashford ilionekana ikijibu moja ya tweet iliyouliza kuhusu Sancho kutua United, lakini Mwingereza huyo amekanusha kauli kuhusu taarifa za Sancho kutua United.

Kwa kipindi kirefu sasa Sancho amekuwa akihusishwa kujiunga na Manchester United, huku Dortmund ikionekana kutaka dau kubwa na sasa inaonekana dili hilo litakamilika hivi karibuni.

Rashford alipinga kujibu tweet ya shabiki mmoja kwa kile alichodai kuwa akaunti yake ya Twitter ilikuwa imedukuliwa kwa masaa kadhaa na hapo ndipo tweet hiyo ilijibiwa.

Dortmund wanaonekana kukubali dili la sasa la Pauni milion 77 ambayo ni sawa na dola milioni 100, Manchester United tayari wameshakubaliana na Sancho na sasa inasubiriwa tu winga huyo kutua United kucheza na Rashford.


KUSANYA PESA HAPA!

IcyGems kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet. Ndio, ukiwa kwenye nyumba ya mabingwa, ndipo utakapoufurahia ubora wa Kasino ya Mtandaoni sambamba na kushinda kwa ushindi mkubwa! Ishi na hii, IcyGems!Meridianbet

INGIA MCHEZONI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.