Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, ameanza kumjaza sumu winga wake – Jadon Sancho.
Sancho alijiunga na United akitokea Borussia Dortmund na ameyaanza maisha mapya ndani ya Old Trafford.
Japokua bado mashabiki wa United hawajauona ule moto wa Sancho uliozoeleka alipokua BVB, Solskjaer anaonekana kuwa karibu zaidi na winga huyu kuelekea mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa.

Ole anasifika kwa uwezo wake mkubwa wa kusimamia mchezaji mmoja mmoja na hilo linaweza kuwa ni msaada mkubwa kwa Sancho ndani ya United.
Man U watakua uwanjani kuchuana na Young Boys leo usiku kwenye Ligi ya Mabingwa. Bashiri na Meridianbet kwa kubofya hapa.
Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!


