Mikel Arteta atamuachia majukuma msaidizi wake Albert Stuivenberg kusimamia mchezo dhidi ya Manchester City wakati akiwa anapata matibabu ya ugonjwa wa Uviko-19
Mkufunzi huyo wa timu ya Arsenal alipatikana kwa mara ya kwanza na maambukizi ya Uviko-19 katika kipidi cha March 2020 wakati kukiwa na mapumziko kutokana na katazo la kutokutoka nje kabla ya kupata tena hivi juzi.

Ingawa Mikel Arteta hakuweza kushiriki kwenye mkutano na waandishi wa habari, alikuwa na kusudi la kumruhusu Stuivenberg kuweza kusimamia kila kitu katika mchezo wa Jumamosi dhidi ya City.
“Ni mtu ambaye yuko karibu na mimi na anaweza, ameshafanya hivyo awali ninaweza kukaa nikiwa na amani, tumeshazungumza bila shaka tutakuwa na mawasilaano, nitamwachia majukumu na kumpa uhuru wa maamuzi akiwa uwanjani.” Alisema Mikel Arteta

Arsenal wameweza kuchukua pointi moja tu kwenye michezo 11 waliyokutana na Manchester City kwenye ligi kuu ya Uingereza.
Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

CHEZA HAPA

